Kuna aliyewaza kutengeneza face masks kujikinga na corona virus?

Kuna aliyewaza kutengeneza face masks kujikinga na corona virus?

sisi tunaojazana kwenye madaladala ndio hatari zaidi yani tunapumuliana na hatua stahiki bado azichukuliwi wakiamini kwamba bado haijafka sijui wanangoja ifike ndio baada ya madhara ndio wachukue hatua za kujikinga. Kwenye school buses za watoto wetu ni yale yale tu watoto wanajazana na ni hatari mno, wito wangu kwa wazazi tuwe makini na tuwafumbue macho na fikra watoto wetu waelewe kuhusu hili janga na namna ya kujikinga vinginevyo tupo hatarini Mungu atulinde.
 
Hivi kwa nini tusifunge mipaka yetu hadi Corona virus ipite? Tusitishe na utalii wa kutoka China


Hizo barabara ,hayo majengo na shughuli (tenda) nyingine za kiufundi na zisizo kiufundi walizoingia mikataba atafanya nani?
 
Ee Mwenyenzi Mungu tuepushie na hili janga baba
 
Wachina ndo wanaona umuhimubwa kuzaliwa africa,yani kama izo dalili ni corona basi mi ninao siku nyingi, nina mafua makali,koo linapalia,kichwa kinauma ila si mara kwa mara,napumua fresh, ila hii ilinitokea nilikunywa maji ya mvua nimekoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu jirani yangu aliugua, ni mama wa miaka 50, mume wake amesafiri. Alikuwa hajiwezi hata kwenda msalani. Nilipatahabari za ugonjwa, kufika kwake na kumuandaa kwenda hospitali nilivaa mask

Alikuwa na dalili zote za corona virus. Tulipiga simu alichukuliwa jana na watu wa public health team. Leo madaktari wameridhika ni pneumonia kali sana. Yuko hospitali yakawaida.

Wakati ninamhudumia nilisema Mungu nisaidie.
Ha ulijitoa mhanga ,Mimi ningekimbia,,manesi mna roho ngumu sana
 
Chukuwa hatua mwenyewe, shona masks [emoji40] zako na familia yako.

Fanya malipo kwa mobile money.

Tembea na hand sanitiser.

Mtu atakayeshona masks za biashara anaweza kupata faida sana kipindi hiki.

Coronavirus ni airborne disease, njia ya kuenea kwa haraka na kuingiza wadudu kwa njia ya hewa. Usipompa mkono mtu na huyo mtu ana pumua na kupiga chafya katikati ya mazungumzo yenu utakuwa umeuwepuka ugonjwa kweli?

Ikitokea una mgonjwa nyumbani, vaa masks wakati unamhudumia. Nawa mikono kila baada ya huduma hata ukimpa maji ya kunywa.
Watu walipata sana hela na hizi mask maski

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu jirani yangu aliugua, ni mama wa miaka 50, mume wake amesafiri. Alikuwa hajiwezi hata kwenda msalani. Nilipatahabari za ugonjwa, kufika kwake na kumuandaa kwenda hospitali nilivaa mask

Alikuwa na dalili zote za corona virus. Tulipiga simu alichukuliwa jana na watu wa public health team. Leo madaktari wameridhika ni pneumonia kali sana. Yuko hospitali yakawaida.

Wakati ninamhudumia nilisema Mungu nisaidie.
Dah pole sana kwa Moyo wa ukarimu upo U.S.A baby[emoji23][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu jirani yangu aliugua, ni mama wa miaka 50, mume wake amesafiri. Alikuwa hajiwezi hata kwenda msalani. Nilipatahabari za ugonjwa, kufika kwake na kumuandaa kwenda hospitali nilivaa mask

Alikuwa na dalili zote za corona virus. Tulipiga simu alichukuliwa jana na watu wa public health team. Leo madaktari wameridhika ni pneumonia kali sana. Yuko hospitali yakawaida.

Wakati ninamhudumia nilisema Mungu nisaidie.
Wapi huko? Kwa mtogole?
 
Mkuu jirani yangu aliugua, ni mama wa miaka 50, mume wake amesafiri. Alikuwa hajiwezi hata kwenda msalani. Nilipatahabari za ugonjwa, kufika kwake na kumuandaa kwenda hospitali nilivaa mask

Alikuwa na dalili zote za corona virus. Tulipiga simu alichukuliwa jana na watu wa public health team. Leo madaktari wameridhika ni pneumonia kali sana. Yuko hospitali yakawaida.

Wakati ninamhudumia nilisema Mungu nisaidie.


Wewe si ulikuwa unakataa kwamba sio Dr (MD)/ nurse!!!🤣
 
Mkuu huu ugonjwa mbaya sana,nimetoka kumpkea jamaa yangu alikuwa huko dah!kwanza kakonda kwa kukaa ndani tu,kwa anavyosimulia nimebaki naumia sana,idad ya watu wanaotangazwa ni chache,watu wamekufa wengi vya kutisha.

Tuombe sana mungu atuepushie mbali,


Inadaiwa watu waliokufa wanakaribia 10,000 au zaidi hadi sasa.
 
Sky Eclat,
Besti wengine zali la Corona tunaombea litupate ni moja ya alama ya kuacha maishani. Yani kitu kinatrend duniani kikupite hivihivi? Let not the current event pass you, join the movement now the coronavirus 2020.
Kama division one ilikupita ulivyokua O-level mengina hayana maana sana.
 
Back
Top Bottom