simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Zanzibar tayari wamezuia ndege kutoka Italy. Mlipuko wa corona Italy unatisha,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar tayari wamezuia ndege kutoka Italy. Mlipuko wa corona Italy unatisha,
Hivi kwa nini tusifunge mipaka yetu hadi Corona virus ipite? Tusitishe na utalii wa kutoka China
Wewe umefanya kipi for free katika maisha yako?Always mungu anawapenda wale wanaotumia matatizo yaliyo kwenye jamii kama fursa kwao ya kupata pesa
Maana wanakesi ya kujibu kwa sir GOD
Why not for free
Ha ulijitoa mhanga ,Mimi ningekimbia,,manesi mna roho ngumu sanaMkuu jirani yangu aliugua, ni mama wa miaka 50, mume wake amesafiri. Alikuwa hajiwezi hata kwenda msalani. Nilipatahabari za ugonjwa, kufika kwake na kumuandaa kwenda hospitali nilivaa mask
Alikuwa na dalili zote za corona virus. Tulipiga simu alichukuliwa jana na watu wa public health team. Leo madaktari wameridhika ni pneumonia kali sana. Yuko hospitali yakawaida.
Wakati ninamhudumia nilisema Mungu nisaidie.
😆😆😆😡😡😡😡😡AKili za kipumbavu
Bibi zetu na babu zetu huko kijijini wapo wapo tu wamekaa ki zembeHizo barabara ,hayo majengo na shughuli (tenda) nyingine za kiufundi na zisizo kiufundi walizoingia mikataba atafanya nani?
Watu walipata sana hela na hizi mask maskiChukuwa hatua mwenyewe, shona masks [emoji40] zako na familia yako.
Fanya malipo kwa mobile money.
Tembea na hand sanitiser.
Mtu atakayeshona masks za biashara anaweza kupata faida sana kipindi hiki.
Coronavirus ni airborne disease, njia ya kuenea kwa haraka na kuingiza wadudu kwa njia ya hewa. Usipompa mkono mtu na huyo mtu ana pumua na kupiga chafya katikati ya mazungumzo yenu utakuwa umeuwepuka ugonjwa kweli?
Ikitokea una mgonjwa nyumbani, vaa masks wakati unamhudumia. Nawa mikono kila baada ya huduma hata ukimpa maji ya kunywa.
Dah pole sana kwa Moyo wa ukarimu upo U.S.A baby[emoji23][emoji12]Mkuu jirani yangu aliugua, ni mama wa miaka 50, mume wake amesafiri. Alikuwa hajiwezi hata kwenda msalani. Nilipatahabari za ugonjwa, kufika kwake na kumuandaa kwenda hospitali nilivaa mask
Alikuwa na dalili zote za corona virus. Tulipiga simu alichukuliwa jana na watu wa public health team. Leo madaktari wameridhika ni pneumonia kali sana. Yuko hospitali yakawaida.
Wakati ninamhudumia nilisema Mungu nisaidie.
Wapi huko? Kwa mtogole?Mkuu jirani yangu aliugua, ni mama wa miaka 50, mume wake amesafiri. Alikuwa hajiwezi hata kwenda msalani. Nilipatahabari za ugonjwa, kufika kwake na kumuandaa kwenda hospitali nilivaa mask
Alikuwa na dalili zote za corona virus. Tulipiga simu alichukuliwa jana na watu wa public health team. Leo madaktari wameridhika ni pneumonia kali sana. Yuko hospitali yakawaida.
Wakati ninamhudumia nilisema Mungu nisaidie.
Cha kwanza nilichofanya
Mkuu jirani yangu aliugua, ni mama wa miaka 50, mume wake amesafiri. Alikuwa hajiwezi hata kwenda msalani. Nilipatahabari za ugonjwa, kufika kwake na kumuandaa kwenda hospitali nilivaa mask
Alikuwa na dalili zote za corona virus. Tulipiga simu alichukuliwa jana na watu wa public health team. Leo madaktari wameridhika ni pneumonia kali sana. Yuko hospitali yakawaida.
Wakati ninamhudumia nilisema Mungu nisaidie.
Mkuu huu ugonjwa mbaya sana,nimetoka kumpkea jamaa yangu alikuwa huko dah!kwanza kakonda kwa kukaa ndani tu,kwa anavyosimulia nimebaki naumia sana,idad ya watu wanaotangazwa ni chache,watu wamekufa wengi vya kutisha.
Tuombe sana mungu atuepushie mbali,
hauwaathiri Waafrika.
Kama division one ilikupita ulivyokua O-level mengina hayana maana sana.Sky Eclat,
Besti wengine zali la Corona tunaombea litupate ni moja ya alama ya kuacha maishani. Yani kitu kinatrend duniani kikupite hivihivi? Let not the current event pass you, join the movement now the coronavirus 2020.