Kuna aliyewaza kutengeneza face masks kujikinga na corona virus?

Kuna aliyewaza kutengeneza face masks kujikinga na corona virus?

Hivi kwa nini tusifunge mipaka yetu hadi Corona virus ipite? Tusitishe na utalii wa kutoka China
Nchi za Afrika zikifunga mipaka ujue zitarudi nyuma miaka 100 nyuma...

Jambo la muhimu ni kuimarisha uchunguzi wa afya kwa raia wanaoingia, kufuatilia taarifa za waendako wakifika nchini na taadhari nyinginezo...

Ila huyu mdudu akifanikiwa kupenya Tanzania,Mungu saidia ground zero isiwe Dar, Arusha au Mwanza maana watu watateketea...
 
Sio kila mask inasaidia...
Chukuwa hatua mwenyewe, shona masks [emoji40] zako na familia yako.

Fanya malipo kwa mobile money.

Tembea na hand sanitiser.

Mtu atakayeshona masks za biashara anaweza kupata faida sana kipindi hiki.

Coronavirus ni airborne disease, njia ya kuenea kwa haraka na kuingiza wadudu kwa njia ya hewa. Usipompa mkono mtu na huyo mtu ana pumua na kupiga chafya katikati ya mazungumzo yenu utakuwa umeuwepuka ugonjwa kweli?

Ikitokea una mgonjwa nyumbani, vaa masks wakati unamhudumia. Nawa mikono kila baada ya huduma hata ukimpa maji ya kunywa.
 
Wauze tu...

Hili bomu ni baya sana, nina imani hii outbreak itasambaa zaidi ya robo tatu ya dunia na itabaki kwenye vitabu vya historia...
Kwenye history miaka mingi nyuma kuna aina ya flu iliua sana Ulaya. Uzuri wake waliosalia wamepata innate immunity ya flu hata HIV hawa ni wazungu jamii ya kcancassian.
 
Back
Top Bottom