The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
ππππππKama division one ilikupita ilivyo kuwa O-level mengina hayana maana sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππKama division one ilikupita ilivyo kuwa O-level mengina hayana maana sana.
Nchi za Afrika zikifunga mipaka ujue zitarudi nyuma miaka 100 nyuma...Hivi kwa nini tusifunge mipaka yetu hadi Corona virus ipite? Tusitishe na utalii wa kutoka China
Chukuwa hatua mwenyewe, shona masks [emoji40] zako na familia yako.
Fanya malipo kwa mobile money.
Tembea na hand sanitiser.
Mtu atakayeshona masks za biashara anaweza kupata faida sana kipindi hiki.
Coronavirus ni airborne disease, njia ya kuenea kwa haraka na kuingiza wadudu kwa njia ya hewa. Usipompa mkono mtu na huyo mtu ana pumua na kupiga chafya katikati ya mazungumzo yenu utakuwa umeuwepuka ugonjwa kweli?
Ikitokea una mgonjwa nyumbani, vaa masks wakati unamhudumia. Nawa mikono kila baada ya huduma hata ukimpa maji ya kunywa.
Amazon na eBay wameuza mask zote
Kwenye history miaka mingi nyuma kuna aina ya flu iliua sana Ulaya. Uzuri wake waliosalia wamepata innate immunity ya flu hata HIV hawa ni wazungu jamii ya kcancassian.Wauze tu...
Hili bomu ni baya sana, nina imani hii outbreak itasambaa zaidi ya robo tatu ya dunia na itabaki kwenye vitabu vya historia...
Kwani kumhudumia jirani kunahitaji qualifications?
Kuna mchina nipo nae kasema si mask tu ilimradi ni mask inazuia kasema wao wanatumiaga mask zinaitwa N95 ila hizi mask za kawaida zinakinga vumbi tu magonjwa hazizuiiAmazon na eBay wameuza mask zote
Non senseCha kwanza nilichofanya
kutetea watu wapate Corona mask bure maana nilitakiwa nilipwa pia au hujui kutetea pia kujitolea
ha ha ha
Mbona tayari wameshachukua tahadhari kwa kuwanunua viongozi wa vyama vya upinzani[emoji4]
πππππMbona tayari wameshachukua tahadhari kwa kuwanunua viongozi wa vyama vya upinzani[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app