pesakilakitu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2024
- 1,618
- 2,861
Labda mjidunge sindano zenye nguvu extraNarudia tena kusema ivi!
Makolo vipigo mfululizo vikianza ile milio ya hatumtaki Mangungu itarudi muda si mrefu..
Una akili mbovu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mjidunge sindano zenye nguvu extraNarudia tena kusema ivi!
Makolo vipigo mfululizo vikianza ile milio ya hatumtaki Mangungu itarudi muda si mrefu..
Halafu ukiipata hiyo sababu, itakusaidia nini Comrade! Uamuzi si wa kwao!! Au wamefanya kosa la kisheria/kikanuni, kubadili uwanja wa kuchezea?Ki ubora tumeona na tunaujua huu uwanja ukitumiwa hata kwa mechi za CAF Champions league na CAF confederation cup.
Lakini vilabu vingi vya NBC premier vimeutumia, ni nini hasa sababu ya timu ya Yanga kuuhama katikati ya msimu?
Kwenye hii barua hakuna sababu yoyote imewekwa.
View attachment 3148330