Kuna anayejua sababu za Yanga kahama uwanja wa Azam Complex?

Halafu ukiipata hiyo sababu, itakusaidia nini Comrade! Uamuzi si wa kwao!! Au wamefanya kosa la kisheria/kikanuni, kubadili uwanja wa kuchezea?

Wabongo mnapenda sana ushabiki maandazi.
 
Hashim Ibwe msemaji wa Azam akihojiwa amesema kwamba Uwanja wa Azam ulikuwa unalindwa kwa mbwa na taa kutozimwa usiku.
Hivyo hakukua na kipenyo cha kufanya ujinga ujinga.
Amedai kwamba kikawaida mpangaji anapohama kwenye sehemu anayopanga basi ni vyema akahamia kwake.
 
Vipigo mfululizo vimewakimbiza chamazi, cctv kamera zimewakimbiza chamazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…