[emoji23][emoji23]Huwa najiuliza mtu akionekana kujua kila kitu humu inapunguza nini kwenye maisha ya anayeteseka?
Mfano mleta mada, huyo uliyemtaja akijua kila kitu unapungukiwa nini?mbona watu mna matumizi mabaya ya mateso
Ukiona mtu humuelewi muongeze kwenye ignore list
Inapunguza mengi sana mbona tunapangiana maishaHuwa najiuliza mtu akionekana kujua kila kitu humu inapunguza nini kwenye maisha ya anayeteseka?
Mfano mleta mada, huyo uliyemtaja akijua kila kitu unapungukiwa nini?mbona watu mna matumizi mabaya ya mateso
Ukiona mtu humuelewi muongeze kwenye ignore list
SawasawaHamna anayemfahamu zaidi ya yeye mwenyewe anavyojifahamu
🤣🤣Huwa najiuliza mtu akionekana kujua kila kitu humu inapunguza nini kwenye maisha ya anayeteseka?
Mfano mleta mada,huyo uliyemtaja akijua kila kitu unapungukiwa nini?mbona watu mna matumizi mabaya ya mateso
Ukiona mtu humuelewi muongeze kwenye ignore list
Mimi nimefahamu kuwa yeye ndio wewe!Huyu member anayejiita GENTAMYCINE (dawa ya minyoo kila kitu anakijua yeye.
Huyu bwana au mwanaume huyu.
Kila kitu anakijua yeye
michezo,
mapenzi,
siasa.
mziki
,usalama,
matukio yanayotokeakwa mwampoda
Chakula na mapishi.
Urembo.
Yuko kila mahali na kila kitu mjuaji nilitaka kujua nani anamfahamu zaidi jamani nimeshindwa kumuelewa?
Acha makasiriko bwege weweHuwa najiuliza mtu akionekana kujua kila kitu humu inapunguza nini kwenye maisha ya anayeteseka?
Mfano mleta mada,huyo uliyemtaja akijua kila kitu unapungukiwa nini?mbona watu mna matumizi mabaya ya mateso
Ukiona mtu humuelewi muongeze kwenye ignore list
Sasa mtu akikupangia maisha si ni wewe tu na maamuzi yako kama ukubali kupangwa ama ukataeInapunguza mengi Sana mbona.tunapangiana maisha
🤣Mimi nimefahamu kuwa yeye ndio wewe!
🤣🤣🤣🤣🤣 nilitaka kuandika kitu, ila nakumbuka mara ya mwisho nilim-diss BIG-POPPA genta... na mods hawakuniacha salama, wakaniwasha!
Oi! GENTAMYCIME GENTAMYCINE ni vipi proffesor?! 🤣👍🏾
JamiiForums Maxence Melo anamfahamu GENTAMYCINE alishamkabidhi tuzoHamna anayemfahamu zaidi ya yeye mwenyewe anavyojifahamu