Kuna anayemuelewa GENTA

Kuna anayemuelewa GENTA

Huwa najiuliza mtu akionekana kujua kila kitu humu inapunguza nini kwenye maisha ya anayeteseka?

Mfano mleta mada,huyo uliyemtaja akijua kila kitu unapungukiwa nini?mbona watu mna matumizi mabaya ya mateso

Ukiona mtu humuelewi muongeze kwenye ignore list
Kwa Ufafanuzi wako huu Kuntu nadhani Topiki hii au Mjadala huu ungeishia tu rasmi hapa.

Nami naongezea la muhimu...

ANGALIZO

Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.

Cc: 2025DG
 
Umeanzisha Uzi ukilenga Kunichafua na niongelewe vibaya ila ndiyo unanisaidia Kuniongezea Umaarufu hapa JamiiForums hivyo nakushukuru mno.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!
Una umaarufu gani wewe.
 
Uko tayari Kwa mashambulizi yake lakini? Usijekusema hatujakutahadharisha.

Sasa unataka umwelewe kitu Gani zaidi ya kusoma anachoandika ambacho nacho sio lazima usome au kutia neno?
Ananitafuta ngoja nimnyooshe Mkuu.
 
Jamii Forum imekua jukwaa la watu wanaopenda kulia lia na kufuatilia maisha yasiyowahusu , kutafuta umaarufu kwa kugombana na wengine.
Mtu akijua kila kitu inakupunguzia nini ?
 
Na nasikitika Moderators huwa wanapenda sana Kuziachia Threads ambazo zinaanzishwa kwa Mimi GENTAMYCINE Kutukanwa, Kudhalilishwa na Kushambuliwa Kutwa hapa kama ya huyu 2025DG hadi zinafika Page nyingi na nikiwajibu kwa namna yangu upesi sana napigwa BAN.

Inakera..!!

Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo, Cookie, YinYang, Paw, Active, Moderator and JamiiForums
Mtoto wa kiume acha kujihami.

Tunakuambia ukweli unapenda sifa kijinga wanaume hawahi hivyo
 
Jamii Forum imekua jukwaa la watu wanaopenda kulia lia na kufuatilia maisha yasiyowahusu , kutafuta umaarufu kwa kugombana na wengine.
Mtu akijua kila kitu inakupunguzia nini ?
Umeitwa ...
 
Mchane tu,hata kama upinde
Ashakum si matusi lakini naomba unitake radhi maana siwezi kumchana yule ni kama mzee wangu namheshimu sana Genta .

Ni mtu fulani mwenye maisha yake lakini upande alioamua kuwepo hasa kwenye ulingo wa jamvi la jamiiforum ni kariba aliyokuwa nayo .

Utofauti ni kuwa natamani nimueleze kinagaubaga hasa kazi , maisha , elimu , kimtaa mtaa ila sasa najiona nitamfunua kitu ambacho pia si sawa .

Lakini amini nakuambia muacheni Genta aitwe Genta tu .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Me kipindi na sign in,nilitahadharisha kua kuna mwamba humu ana chamba siyo poa (siyo kujitawaza), tangu kipindi hicho nilikaa mbali na post za GENTA,, sasa sijui huyu bwana anatafuta nini..
 
Back
Top Bottom