Lethergo
JF-Expert Member
- Aug 7, 2023
- 6,534
- 11,421
Wanapenda kutukanwaIla huwa mnamchokoza akiwatukana mnaanza kulialia kama mademu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapenda kutukanwaIla huwa mnamchokoza akiwatukana mnaanza kulialia kama mademu
Anapenda sifa kabira lake n mhaya[emoji2][emoji2][emoji2]
GENTAMYCINE unaitwa huku
Nakazia... Kasoro hapo kwenye mademuIla huwa mnamchokoza akiwatukana mnaanza kulialia kama mademu
Ungemfata PM tu, kuliko kuzunguka zungukaHuyu member anayejiita GENTAMYCINE (dawa ya minyoo kila kitu anakijua yeye.
Huyu bwana au mwanaume huyu.
Kila kitu anakijua yeye
michezo,
mapenzi,
siasa.
mziki
,usalama,
matukio yanayotokeakwa mwampoda
Chakula na mapishi.
Urembo.
Yuko kila mahali na kila kitu mjuaji nilitaka kujua nani anamfahamu zaidi jamani nimeshindwa kumuelewa?
Mchane tu,hata kama upindeNatamani kuhabarisha umma kuhusu huyu mwamba ila naogopa sana maana mh yasijenikuta
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app