Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Na nakiona sana hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kufa huff ila cha moto utakiona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nakiona sana hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kufa huff ila cha moto utakiona
Na nakiona sana hapa
NnimekomaNdio ukome [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nnimekoma
Soon nakujaKuna kitu nataka nikuulize nitafute
Mleta mada, ni jana au juzi tu ulifungua uzi ukilalamikia kutopewa hela baada ya kufanya mapenzi. Leo unamlalamikia Genta kwa kujua kila kitu.Huyu member anayejiita GENTAMYCINE, dawa ya minyoo kila kitu anakijua yeye.
- Michezo
- Mapenzi
- Siasa
- Mziki
- Usalama
- Matukio yanayotokea kwa Mwamposa
- Chakula na mapishi
- Urembo
Yuko kila mahali na kila kitu mjuaji. Nilitaka kujua nani anamfahamu zaidi jamani, nimeshindwa kumuelewa?
Naona GENTAMYCINE unajifagiliaHuyu member anayejiita GENTAMYCINE, dawa ya minyoo kila kitu anakijua yeye.
- Michezo
- Mapenzi
- Siasa
- Mziki
- Usalama
- Matukio yanayotokea kwa Mwamposa
- Chakula na mapishi
- Urembo
Yuko kila mahali na kila kitu mjuaji. Nilitaka kujua nani anamfahamu zaidi jamani, nimeshindwa kumuelewa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] imekusisimua? Bas na wewe NAKUPENTRAAAAA [emoji8][emoji182]
Njoo uniambilie PM [emoji18]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe unatafuta vita
Mwachiluwi umeona huku
Kugobishana na wazee walio tumia ujana wao vibaya ni laana kubwa sana sitaki kuwa chizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe unatafuta vita
Mwachiluwi umeona huku
Fungua basi hiyo PM kwa muda bibie... mbona hivyo lakini Cutie 🥺🥺🥺Piem au sio? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nina ushahidi... alete vita niweke screenshot zake mwanaume anamwambia mwanaume mwenzake ana njaa... [emoji4]
Kugobishana na wazee walio tumia ujana wao vibaya ni laana kubwa sana sitaki kuwa chizi
Fungua basi hiyo PM kwa muda bibie... mbona hivyo lakini Cutie [emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Ingia pm cute[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ungekuta siko kwenye penzi zito na mke wa jirani yangu lazima ningekuja PM tuyajenge.. umeongea point sana aisee. Beautiful JoanahHuwa najiuliza mtu akionekana kujua kila kitu humu inapunguza nini kwenye maisha ya anayeteseka?
Mfano mleta mada, huyo uliyemtaja akijua kila kitu unapungukiwa nini?mbona watu mna matumizi mabaya ya mateso
Ukiona mtu humuelewi muongeze kwenye ignore list