Kuna anayemwelewa Salim Kikeke na 'Mizururo' yake Holela ya hapa na pale Dar es Salaam na Mikoani?

Charismatic fella, most talented kwenye ubora wako, hivi huwa unapataga wapi muda wa kufatilia maisha ya mtu, na unajua mpka salimu kikeke kachakata mbususu gani? Duh we ni hatari.
 
Huyu banamdogo alianza nyodo za kishamba hata kabla hajastaafu kule.

Pale yule mdada fulani alipopata tunu ni kama alifurahi kupitiliza huyu banamdogo.

Ukimwangalia kwa utulivu ni kama kuna kitu hakipo sawa kwake.

Nina doubt kama naye siyo ile timu ya maulidi.
 
Ulikwisha maliza kuushauri uokoo wenu mtoke hapo mlipo mfike angalau kiwango cha IST kama si bodaboda.
Achana na ufuatiliaji wa maisha ya watu wasiokuhusu ili mradi uonekane unawafahamu watu mashuhuri, kwa Mkono tulishushua tukakufukuza.
 
Kuna Watu wapo level nyingine za maisha... mfano ukimuona MO/ BBakhresA sehemu mbalimbali utasema anatanga tanga?
Watu wamesha invest na wameajiri watu ku operate biashara kwenye Makampuni yao..
Unachokifanya ni Ku manage tu Biashara..
Sikuhizi kwenye dunia ya Ki -digitali sio lazima u manage biashara physically...
 
Hawa hawa tunawaona kama wehu lakini wanatengeneza followers baadae pesa inaingia, kina Mwijaku tunawaona kama wehu fulani hivi lakini kumbe wako kazini na wako vizuri tu. nchi hii ukitaka kujifanya mzee wa busara hutoboi wewe jitoe ufahamu kidogo tu mambo yako yataenda. Kubwa kuliko yote maisha kuchagua, kuna watu hawapendi kujipost na wako wanapenda hapa wote wako sawa tu, wanafanya yanayowapendeza.
 
Personal life ya mtu unaitakia nini?
Akila bata Tabata au uwanja wa fisi ,inatuhusu nini?
Grow up man!
 

Hivi kama amechukua likizo ya miezi sita ya mapumziko baada ya miaka 20 Nje ya Nchi inakuhusu nini?
Naona ni matumizi mabaya ya muda na akili kukaa hapa kujadili maisha ya mtu aliyetoboa maisha tayari...
 
Nilikuwa kanisani na nimetoka kwa Salim kafanyeje au unajifanya hujui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…