Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na huyo mtoa mada mkuu ni omba omba kawe hana mbele wala nyuma kama mche wa sabuni.Hivi mwanaume unapata wapi muda wa kufatilia maisha ya mwanaume mwenzako?
Kama anafanya mizurulo kwa pesa yanjasho lake tatizo li wapi?
Uki focus kwenye ishu zako huwezi kuwa mlozi!
Huyu mtoa mada anazingua sana basi tu yaaniWanaume🤔
Genta unakosea bwana. Si umtafute inbox mbona namba zake zipo wazi tu!?Kwa nimjuavyo Salim Kikeke hana IQ hiii ya Kipumbavu kama uliyonayo na anijibu hivi badala yake atachukua Ushauri wangu na Kuufanyia Kazi kwa manufaa yake, Jamii iliyomzunguka na Taifa kwa Ujumla.
"Eti Nabii na Mtume wa JamiiForums"..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
AahaaaKwa nimjuavyo Salim Kikeke hana IQ hiii ya Kipumbavu kama uliyonayo na anijibu hivi badala yake atachukua Ushauri wangu na Kuufanyia Kazi kwa manufaa yake, Jamii iliyomzunguka na Taifa kwa Ujumla.
Mkuu hawa watangazaji wa nje....Kuna sera na vipengele fulani vinawabana kuhusu kusema/kuonyesha mazuri ya Africa.Kwa nimjuavyo Salim Kikeke hana IQ hiii ya Kipumbavu kama uliyonayo na anijibu hivi badala yake atachukua Ushauri wangu na Kuufanyia Kazi kwa manufaa yake, Jamii iliyomzunguka na Taifa kwa Ujumla.
ttzo una utamaduni wa kiswahili ni ngumu kumuelewa , sisi waswahili tunaishi km nyumbu tunataka wote tufanane kitizamo na ki attitudeTokea arejee kutoka BBC Uingereza namuona ni kama vile anautaka Ujana ( Anajidogoza ), ana Mashindano ya Kula Bata na Mtu, kuna Umuhimu wa Kilazima kwa Jamii anataka Kujipa, ana Mchanganyiko ( Mseto ) wa Sifa na Ushamba fulani hivi, ni kama vile hajielewi na Kadata ( Kachanganyikiwa ) fulani hivi na Mtu ambaye hajui anataka kufanya nini sasa.
Ushauri wangu GENTAMYCINE Kwake ni kumuomba hebu atulize Kwanza Akili ( Kichwa ) na atafakari anataka kufanya nini Tanzania na kwa Watanzania kutokana na Exposure yake Kubwa kutoka kwa Wakubwa Waingereza kuliko nionavyo sasa na kama nilivyoelezea hapo juu.
Serikali hii Hazina Kubwa Salim Kikeke mnaiacha nini badala ya Kumtumia ili apunguze Mizururo yake ambayo ni kama vile naona inaanza kumpunguzia Credibility aliyonayo kwa Jamii husika ya Watanzania?
au nyie Watu wa Azam Media ( ambayo najua ndiyo pekee wenye Financial Muscles ) za Kumuajiri na Kumlipa Mshahara mkubwa na mnono Salim Kikeke kwanini msimchukue ili mtupunguzie hii 'Mizururo' yake hapa Mjini Dar es Salaam na huko Mikoani?
Ukiona GENTAMYCINE anakuchana ( anakusema ) hivi jua Anakupenda, anajua Potential yako, anaumia kuona Unavyopotea na anataka Ushtuke upesi, ujitafakari na ubadilike ili uendelee kuwa bora na ikiwezekana hata kuzidi ulivyokuwa mwanzo.
Salim Kikeke najua kabisa ( fika ) kuwa GENTAMYCINE Mimi sikufikii kwa lolote lile kuanzia Elimu, Hadhi, Uzoefu, Utajiri, Umaarufu, Pesa ( Mawokoto ) na Exposure, ila nakuomba yatafakari yote haya niliyokuandikia hapa kwani hata Mimi pia nina Utajiri mkubwa ambao ni Tunu / Shani yangu ya Maono, Upeo wa mbali, Akili Kubwa za Asili na Ushauri wa Dhahabu ambavyo nina uhakika huna na kamwe hutokuwa navyo hivyo basi yafanyie Kazi na ipo Siku hata Kimoyomoyo tu utakuja Kunikumbuka na Kunishukuru Nabii na Mtume wa JamiiForums Mimi.
Ninakukubali na nakutakia Mafanikio.
maisha ni kufurahi , chezq kwenye pattern zako , hamfanani hustle , acha afanye kinachompa furaha , ifike muda waswahili tuache kulazimisha kufanana mifumo ya kimaishaKwa nimjuavyo Salim Kikeke hana IQ hiii ya Kipumbavu kama uliyonayo na anijibu hivi badala yake atachukua Ushauri wangu na Kuufanyia Kazi kwa manufaa yake, Jamii iliyomzunguka na Taifa kwa Ujumla.
achen kuish kwa kukariri , maisha haypo hivyo , kuna mtu anamlipia bill zake hayo anafanya kajiandaa nayo muda tu , huo ndo uchawi ss unataka kila mtu akashinde bar wkt wengine hizo sio hobby zaoLeo umeongea point kuna mda dishi lako huwa linayumba sijui ni upepo??
salimu kikeke amekuwa kama kijana wa secondary.
badilika huu ni mwaka 2023 sio 1990 , huenda ww unaish bila mipango ila mwenzio kayapangilia yote hayo hayaj bahati mbaya kwakeNimemshauri tu na sijamlazimisha aishi nitakavyo Masikini na Mtu wa Kawaida Mimi GENTAMYCINE sawa Mkuu?
ww mwenyew una mitizamo ya ki ccmu , nan atakujengea kwenu?Hawa watu unafanya kazi UK kwa muda mrefu,badala ya kujiandalia mazingira ya kuishi huko forever unarudije kwenye siasa hizi za ccm ni ile ile strees?. Hajamuuliza au kujifunza kwa yule alichomolewa huko kwa kubembelezwa kuja kuiboresha TBC,mwisho aketemwa kama ganda la muwa na mashitaka juu?
Aah...! Lakini muda mwingine ukimuona anazurula au anacheza draft na wewe ukamuiga bila kujua mwenzio tayari kawekeza vyote vya uzeeni. Hapo unaweza kukuta ana apartment za kutosha hapo anakula maisha milele. Uwe makini. Fuata yako
mbona hata Samia alipigwa maswali mazito mpk akaamza payukaHuyo ameahidiwa ukurugenzi wa tbc
Walifanya kazi nzuri kumtukana magufuli na mwenzie zooora