Kuna anayemwelewa Salim Kikeke na 'Mizururo' yake Holela ya hapa na pale Dar es Salaam na Mikoani?

Kuna anayemwelewa Salim Kikeke na 'Mizururo' yake Holela ya hapa na pale Dar es Salaam na Mikoani?

Kwa nimjuavyo Salim Kikeke hana IQ hiii ya Kipumbavu kama uliyonayo na anijibu hivi badala yake atachukua Ushauri wangu na Kuufanyia Kazi kwa manufaa yake, Jamii iliyomzunguka na Taifa kwa Ujumla.
Mkuu hawa watangazaji wa nje....Kuna sera na vipengele fulani vinawabana kuhusu kusema/kuonyesha mazuri ya Africa.
 
Anastahili hongera wenzake huwa hawarudi wakiwa na msongo wa mawazo kama wake , wanaishia kuwa walevi tu at the end wanakufa yeye kajitutumua sana kurudi tz, na ina umma unakutq vijana wadogo kina majizo wanamiliki media, kina diamond arafu wewe una miliki suti na vidolla huna ramani kweli exposure unayo ila huna maisha ina uma sana na wazawa washamchungulia wakaona mwamba uraibu umemchukua so subilia awe lemutuz part 2
 
maisha ya kuzurula huku na kule anayoishi salim kikeke ndio mimi nayapenda na ndivyo ninavyoishi. traveling is something that makes me feel very comfortable and I love it.

nikikaa sehemu moja mda mrefu akili yangu inakuwa dormant, nahisi kupata onyonge, nakuwa mtu wa kisirani kiasi cha kupunguza ufanisi wangu wa kufanya kazi.

mimi ni domestic traveler, mizurulo yangu naipiga hapahapa nchini, ila sio mtu wa mitandao.

laiti kama ningekuwa mtu wa mitandao, watu wenye mitazamo hasi kama mleta mada wangenikoma kule instagram kwa picha nzuri ambazo ningekuwa nazi upload kwenye ukurasa wangu. honestly wangepasuka kwa hasira na wivu wao.

hii ni timeline yangu kutoka google map ikionyesha baadhi ya maeneo niliyozurula hapa tanzania mpaka sasa.
 

Attachments

  • IMG_20230904_022200.jpg
    IMG_20230904_022200.jpg
    162.2 KB · Views: 3
  • IMG_20230904_022221.jpg
    IMG_20230904_022221.jpg
    173.1 KB · Views: 3
Tokea arejee kutoka BBC Uingereza namuona ni kama vile anautaka Ujana ( Anajidogoza ), ana Mashindano ya Kula Bata na Mtu, kuna Umuhimu wa Kilazima kwa Jamii anataka Kujipa, ana Mchanganyiko ( Mseto ) wa Sifa na Ushamba fulani hivi, ni kama vile hajielewi na Kadata ( Kachanganyikiwa ) fulani hivi na Mtu ambaye hajui anataka kufanya nini sasa.

Ushauri wangu GENTAMYCINE Kwake ni kumuomba hebu atulize Kwanza Akili ( Kichwa ) na atafakari anataka kufanya nini Tanzania na kwa Watanzania kutokana na Exposure yake Kubwa kutoka kwa Wakubwa Waingereza kuliko nionavyo sasa na kama nilivyoelezea hapo juu.

Serikali hii Hazina Kubwa Salim Kikeke mnaiacha nini badala ya Kumtumia ili apunguze Mizururo yake ambayo ni kama vile naona inaanza kumpunguzia Credibility aliyonayo kwa Jamii husika ya Watanzania?

au nyie Watu wa Azam Media ( ambayo najua ndiyo pekee wenye Financial Muscles ) za Kumuajiri na Kumlipa Mshahara mkubwa na mnono Salim Kikeke kwanini msimchukue ili mtupunguzie hii 'Mizururo' yake hapa Mjini Dar es Salaam na huko Mikoani?

Ukiona GENTAMYCINE anakuchana ( anakusema ) hivi jua Anakupenda, anajua Potential yako, anaumia kuona Unavyopotea na anataka Ushtuke upesi, ujitafakari na ubadilike ili uendelee kuwa bora na ikiwezekana hata kuzidi ulivyokuwa mwanzo.

Salim Kikeke najua kabisa ( fika ) kuwa GENTAMYCINE Mimi sikufikii kwa lolote lile kuanzia Elimu, Hadhi, Uzoefu, Utajiri, Umaarufu, Pesa ( Mawokoto ) na Exposure, ila nakuomba yatafakari yote haya niliyokuandikia hapa kwani hata Mimi pia nina Utajiri mkubwa ambao ni Tunu / Shani yangu ya Maono, Upeo wa mbali, Akili Kubwa za Asili na Ushauri wa Dhahabu ambavyo nina uhakika huna na kamwe hutokuwa navyo hivyo basi yafanyie Kazi na ipo Siku hata Kimoyomoyo tu utakuja Kunikumbuka na Kunishukuru Nabii na Mtume wa JamiiForums Mimi.

Ninakukubali na nakutakia Mafanikio.
ttzo una utamaduni wa kiswahili ni ngumu kumuelewa , sisi waswahili tunaishi km nyumbu tunataka wote tufanane kitizamo na ki attitude
 
Kwa nimjuavyo Salim Kikeke hana IQ hiii ya Kipumbavu kama uliyonayo na anijibu hivi badala yake atachukua Ushauri wangu na Kuufanyia Kazi kwa manufaa yake, Jamii iliyomzunguka na Taifa kwa Ujumla.
maisha ni kufurahi , chezq kwenye pattern zako , hamfanani hustle , acha afanye kinachompa furaha , ifike muda waswahili tuache kulazimisha kufanana mifumo ya kimaisha
 
Leo umeongea point kuna mda dishi lako huwa linayumba sijui ni upepo??

salimu kikeke amekuwa kama kijana wa secondary.
achen kuish kwa kukariri , maisha haypo hivyo , kuna mtu anamlipia bill zake hayo anafanya kajiandaa nayo muda tu , huo ndo uchawi ss unataka kila mtu akashinde bar wkt wengine hizo sio hobby zao
 
Nimemshauri tu na sijamlazimisha aishi nitakavyo Masikini na Mtu wa Kawaida Mimi GENTAMYCINE sawa Mkuu?
badilika huu ni mwaka 2023 sio 1990 , huenda ww unaish bila mipango ila mwenzio kayapangilia yote hayo hayaj bahati mbaya kwake
 
Hawa watu unafanya kazi UK kwa muda mrefu,badala ya kujiandalia mazingira ya kuishi huko forever unarudije kwenye siasa hizi za ccm ni ile ile strees?. Hajamuuliza au kujifunza kwa yule alichomolewa huko kwa kubembelezwa kuja kuiboresha TBC,mwisho aketemwa kama ganda la muwa na mashitaka juu?

Aah...! Lakini muda mwingine ukimuona anazurula au anacheza draft na wewe ukamuiga bila kujua mwenzio tayari kawekeza vyote vya uzeeni. Hapo unaweza kukuta ana apartment za kutosha hapo anakula maisha milele. Uwe makini. Fuata yako
ww mwenyew una mitizamo ya ki ccmu , nan atakujengea kwenu?
 
Back
Top Bottom