Kuna anayemwelewa Salim Kikeke na 'Mizururo' yake Holela ya hapa na pale Dar es Salaam na Mikoani?

Kuna anayemwelewa Salim Kikeke na 'Mizururo' yake Holela ya hapa na pale Dar es Salaam na Mikoani?

Anastahili hongera wenzake huwa hawarudi wakiwa na msongo wa mawazo kama wake , wanaishia kuwa walevi tu at the end wanakufa yeye kajitutumua sana kurudi tz, na ina umma unakutq vijana wadogo kina majizo wanamiliki media, kina diamond arafu wewe una miliki suti na vidolla huna ramani kweli exposure unayo ila huna maisha ina uma sana na wazawa washamchungulia wakaona mwamba uraibu umemchukua so subilia awe lemutuz part 2
Nikiripoti kutokea kwenye kochi la shemeji. Saleem kikeke bbc
 
angelikuwa mtu aliyetulia, yaani ana maisha ya kiutuuzima, angepata pande zuri sana huyo, sasa mtu yupo kwenye 50s lakini unaona anaishi tuuu kama kijana na hatujui kama ameoa. kwa msiofahamu, ili uitwe mtu mzima kipimo mojawapo ni kuoa, kuishi na mwanamke hiyo hata kwenye Biblia ilishaandikwa kwamba kama mtu anashindwa kumanage familia yake tu atawezaje kumanage cheo kama cha uaskofu kwamfano n.k. aoe, aishi kiutuuzima, apunguze makelele kama under 18. hapa sio ulaya ambako watu hawafuatiliani maisha, bongo maisha utafuatiliwa tu na watu hata kama hutaki.
Fuatilia maisha ya ndugu zako
 
Huyu banamdogo alianza nyodo za kishamba hata kabla hajastaafu kule.

Pale yule mdada fulani alipopata tunu ni kama alifurahi kupitiliza huyu banamdogo.

Ukimwangalia kwa utulivu ni kama kuna kitu hakipo sawa kwake.

Nina doubt kama naye siyo ile timu ya maulidi.
@mamndeyi hapa umeumiza, maneno makali sana haya
 
Kwan kawaambia anataka kufanya kaz shithole kantree? Mumekarr kufanya kaz mpk miaka 60 pumbavu. Kaz mpk miaka 60 ni umaskini
 
Mama ya kizungu imemtia stress bora angekomaa na kina sie mwajuma ndala ndefu
 
Mi nadhan ni ile homesickness ya mda mrefu, ameish kule UK akiwa upweke kwa maana ya watz wenzake
Halafu naona kama alikuwa anabanwa lkn now anaonekana kijan ila that time alikuwa kama mzee pale BBC
 
Tokea arejee kutoka BBC Uingereza namuona ni kama vile anautaka Ujana ( Anajidogoza ), ana Mashindano ya Kula Bata na Mtu, kuna Umuhimu wa Kilazima kwa Jamii anataka Kujipa, ana Mchanganyiko ( Mseto ) wa Sifa na Ushamba fulani hivi, ni kama vile hajielewi na Kadata ( Kachanganyikiwa ) fulani hivi na Mtu ambaye hajui anataka kufanya nini sasa.

Ushauri wangu GENTAMYCINE Kwake ni kumuomba hebu atulize Kwanza Akili ( Kichwa ) na atafakari anataka kufanya nini Tanzania na kwa Watanzania kutokana na Exposure yake Kubwa kutoka kwa Wakubwa Waingereza kuliko nionavyo sasa na kama nilivyoelezea hapo juu.

Serikali hii Hazina Kubwa Salim Kikeke mnaiacha nini badala ya Kumtumia ili apunguze Mizururo yake ambayo ni kama vile naona inaanza kumpunguzia Credibility aliyonayo kwa Jamii husika ya Watanzania?

au nyie Watu wa Azam Media ( ambayo najua ndiyo pekee wenye Financial Muscles ) za Kumuajiri na Kumlipa Mshahara mkubwa na mnono Salim Kikeke kwanini msimchukue ili mtupunguzie hii 'Mizururo' yake hapa Mjini Dar es Salaam na huko Mikoani?

Ukiona GENTAMYCINE anakuchana ( anakusema ) hivi jua Anakupenda, anajua Potential yako, anaumia kuona Unavyopotea na anataka Ushtuke upesi, ujitafakari na ubadilike ili uendelee kuwa bora na ikiwezekana hata kuzidi ulivyokuwa mwanzo.

Salim Kikeke najua kabisa ( fika ) kuwa GENTAMYCINE Mimi sikufikii kwa lolote lile kuanzia Elimu, Hadhi, Uzoefu, Utajiri, Umaarufu, Pesa ( Mawokoto ) na Exposure, ila nakuomba yatafakari yote haya niliyokuandikia hapa kwani hata Mimi pia nina Utajiri mkubwa ambao ni Tunu / Shani yangu ya Maono, Upeo wa mbali, Akili Kubwa za Asili na Ushauri wa Dhahabu ambavyo nina uhakika huna na kamwe hutokuwa navyo hivyo basi yafanyie Kazi na ipo Siku hata Kimoyomoyo tu utakuja Kunikumbuka na Kunishukuru Nabii na Mtume wa JamiiForums Mimi.

Ninakukubali na nakutakia Mafanikio.
Tafuta kazi ya kufanya, huna akili, na sio tabia za wanaume rijali.
 
Shida amekaa Sana ugaibuni jamani maisha ya ulaya Yana upweke Sana na mifano ipo kwa ndugu zangu wako marekani na wanafanya kazi lakini wanachokwambia ulaya huwezi ukakuta watu wanapiga umbea au wamekaa kijiweni wanacheza drafti mda wote watu wapo bize na hakuna mda wa kutembeleana na kupeana umbeya na mtu wakati mwingine masaa 24 Yuko kazini akitoka nyumbani Sasa kuna maisha aliyakosa mda mrefu na Sasa anaona anainjoi na mifano ninayo kwa jamaa zangu walikuwa wamekaa marekani mda mrefu na maisha yako Safi wamerudi bongo na wanafanya biashara zao na asikwambie mtu ulaya maisha sio

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tokea arejee kutoka BBC Uingereza namuona ni kama vile anautaka Ujana ( Anajidogoza ), ana Mashindano ya Kula Bata na Mtu, kuna Umuhimu wa Kilazima kwa Jamii anataka Kujipa, ana Mchanganyiko ( Mseto ) wa Sifa na Ushamba fulani hivi, ni kama vile hajielewi na Kadata ( Kachanganyikiwa ) fulani hivi na Mtu ambaye hajui anataka kufanya nini sasa.

Ushauri wangu GENTAMYCINE Kwake ni kumuomba hebu atulize Kwanza Akili ( Kichwa ) na atafakari anataka kufanya nini Tanzania na kwa Watanzania kutokana na Exposure yake Kubwa kutoka kwa Wakubwa Waingereza kuliko nionavyo sasa na kama nilivyoelezea hapo juu.

Serikali hii Hazina Kubwa Salim Kikeke mnaiacha nini badala ya Kumtumia ili apunguze Mizururo yake ambayo ni kama vile naona inaanza kumpunguzia Credibility aliyonayo kwa Jamii husika ya Watanzania?

au nyie Watu wa Azam Media ( ambayo najua ndiyo pekee wenye Financial Muscles ) za Kumuajiri na Kumlipa Mshahara mkubwa na mnono Salim Kikeke kwanini msimchukue ili mtupunguzie hii 'Mizururo' yake hapa Mjini Dar es Salaam na huko Mikoani?

Ukiona GENTAMYCINE anakuchana ( anakusema ) hivi jua Anakupenda, anajua Potential yako, anaumia kuona Unavyopotea na anataka Ushtuke upesi, ujitafakari na ubadilike ili uendelee kuwa bora na ikiwezekana hata kuzidi ulivyokuwa mwanzo.

Salim Kikeke najua kabisa ( fika ) kuwa GENTAMYCINE Mimi sikufikii kwa lolote lile kuanzia Elimu, Hadhi, Uzoefu, Utajiri, Umaarufu, Pesa ( Mawokoto ) na Exposure, ila nakuomba yatafakari yote haya niliyokuandikia hapa kwani hata Mimi pia nina Utajiri mkubwa ambao ni Tunu / Shani yangu ya Maono, Upeo wa mbali, Akili Kubwa za Asili na Ushauri wa Dhahabu ambavyo nina uhakika huna na kamwe hutokuwa navyo hivyo basi yafanyie Kazi na ipo Siku hata Kimoyomoyo tu utakuja Kunikumbuka na Kunishukuru Nabii na Mtume wa JamiiForums Mimi.

Ninakukubali na nakutakia Mafanikio.
Naona mwezi umeandama
 
Back
Top Bottom