Tetesi: Kuna anguko kubwa la CHADEMA?

Tetesi: Kuna anguko kubwa la CHADEMA?

Mwenzako Stephen Wasira alikuwa anawaza ujinga kama huu. Yeye alisema CHADEMA itakufa kabla ya mwaka 2013, lakini mwaka 2015 CHADEMA ikamchinjia baharini!!
 
Ni swali najiuliza kwa sauti, je, kuwekwa rumande kwa Mh Mbowe, M/Kiti wa CHADEMA, ni kiashiriyo cha anguko la CHADEMA?

Kwa mfano hakuna dalili za uhai wa Sera zilizonduliwa kwa mbwembwe kuwa zinajadiliwa na wapiga kura wakati Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uko mlangoni.

Au ndiyo tuamini chama ni Mbowe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayati Nelson Mandela alifungwa zaidi ya miaka 25 ANC iliimarika mara dufu Endeleeni kuota ndoto huku mnatembea kuwa CHADEMA itaanguka Misukosuko ya kununua Wabunge na Madiwani Kesi Mahakamani Viongozi Mahabusu kila Uchao lakini Chadema ipo imara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Misukosuko ya kununua Wabunge na Madiwani Kesi Mahakamani Viongozi Mahabusu kila Uchao lakini Chadema ipo imara.
Hawa wapuuzi huwa hawajiulizi ni kwa nini kila hila wanayofanya ili CHADEMA isambaratike inashindwa na CHADEMA inazidi kuwa imara.
 
1.Chadema wako bize kumshangilia Lisu ulaya.
2. Zile ford rangers walizoazima yard kuzima sakata la ruzuku zimesharudi.
3. Chadema wameshamsahau Mbowe.
4. Kina Ole Sosopi wako bize kupambana na Magu.
5. Kina Halima Mdee nao wameshindwa kuinadi sera majimboni, wamebaki kuzungumzia ndege.
6. Wameshavurugwa na wamevurugika kweli kweli..kila kitu kimeenda kombo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humo mwenu mapunguani mko wengi sana. Watu mmewazuia kufanya shughuli za kisiasa, mnawaweka ndani hovyo !! lakini bado mnaona maluweluwe dhidi ya Cdm ?!

Mtu mwizi na mchawi hamuamini mtu yeyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanadi hizo sera kwenye majimbo yao pamoja na kwenye kata..huko nako wamezuiwa..? Mpaka sasa hakuna hata mpiga kura wa kawe au kibamba mwenye nakala ya hizo sera.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanadi hizo sera kwenye majimbo yao pamoja na kwenye kata..huko nako wamezuiwa..? Mpaka sasa hakuna hata mpiga kura wa kawe au kibamba mwenye nakala ya hizo sera.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana hata hao Madwani/Wabunge wa CHADEMA hawana hizo nakala wala hawajui Sera mpya za chama. Kwa kuwa mwenye chama ndiyo hivyo basi tena chama nacho kiko rumande!!!

Katika hali hiyo kweli CHADEMA kitegemee kuongoza nchi hii? Kwamba hakuna mwenye Sauti zaidi ya M/Kiti!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni swali najiuliza kwa sauti, je, kuwekwa rumande kwa Mh Mbowe, M/Kiti wa CHADEMA, ni kiashiriyo cha anguko la CHADEMA?

Kwa mfano hakuna dalili za uhai wa Sera zilizonduliwa kwa mbwembwe kuwa zinajadiliwa na wapiga kura wakati Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uko mlangoni.

Au ndiyo tuamini chama ni Mbowe?

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani Chadema bado ipo ,mbona wakubwa wako walishasema imekufa ?
 
Ni swali najiuliza kwa sauti, je, kuwekwa rumande kwa Mh Mbowe, M/Kiti wa CHADEMA, ni kiashiriyo cha anguko la CHADEMA?

Kwa mfano hakuna dalili za uhai wa Sera zilizonduliwa kwa mbwembwe kuwa zinajadiliwa na wapiga kura wakati Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uko mlangoni.

Au ndiyo tuamini chama ni Mbowe?

Sent using Jamii Forums mobile app
_104276384_gettyimages-952547818.jpg
1550772595919.png
FB_IMG_1550909861066.jpg
1548921362514.png
_104276384_gettyimages-952547818.jpg
 
Ni swali najiuliza kwa sauti, je, kuwekwa rumande kwa Mh Mbowe, M/Kiti wa CHADEMA, ni kiashiriyo cha anguko la CHADEMA?

Kwa mfano hakuna dalili za uhai wa Sera zilizonduliwa kwa mbwembwe kuwa zinajadiliwa na wapiga kura wakati Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uko mlangoni.

Au ndiyo tuamini chama ni Mbowe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania siyo wajinga wanajua hakuna uhuru wa kufanya siasa wanafahamu Wapinzani wananyanyaswa sana hakuna Anguko lolote la chadema zaidi ya chuki dhidi ya CCM kuongezeka maradufu
 
Saccos bye bye
Kuflya mbali


Sent using Jamii Forums mobile app

Pambano la ngumi Bondia wa CCM yupo huru kufanya mazoezi popote nchini na uzito wake ni kg 100 huku bondia wa Upinzani ni kg 50 hana uhuru wa kufanya mazoezi na siku ya pambano anafungwa kamba mikono nyuma huku bondia wa CCM yupo free na pambano likianza bondia wa CCM anapewa Ushindi, hii ndiyo Siasa ya Utawala huu dhalimu wa kidikteta
 
Una laana wewe


Sent using Jamii Forums mobile app

Naibu Rais ndugu Daud Maliyamungu Bashite na mtukufu malaika toka chato wajue kuwa hakuna mabaya yasiyo na mwisho na mwisho wa ubaya ni aibu wambie wajue kuwa malipo ni hapa hapa Duniani walikuwepo akina chiluba, sadam Hussein, Gadafi, Abacha, Bokassa, mabutu, Iddy Amin dada aliyekuwa na msaidizi wake aliyeitwa colonel Maliyamungu alikuwa na roho mbaya kama ya cyprian Musiba na Bashite leo hii wapo wapi?
 
Huu unaenda mwaka wa 4 toka Magufuli aingie madarakani. Kaja na sheria zake za mfukoni ili kuiua cdm lakini imeshindikana. Saa hii ajenda kuu ya Magufuli, serekali na ccm kwa ujumla ni jinsi ya kuifanyia cdm hujuma ili Magufuli awe rais, na wagombea wa ccm watangazwe washindi hata wasiposhinda. Angalia cdm inapigana huku imefungwa mikono lakini bado ndio habari ya mjini. Madaraka ya urais tu ndio kinga pekee ya ccm lakini sio ushawishi kwa umma.
Kuna Rais atakuja na agenda yake ya kubadili kifungu cha katiba cha kinga ya waliopita na hapo ndio kina Jeska watakapo angua kilio na wao Kwa wayakayo shuhudia Kwa wazazi wao kama watoto wa wengine wanayo shuhudia sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania siyo wajinga wanajua hakuna uhuru wa kufanya siasa wanafahamu Wapinzani wananyanyaswa sana hakuna Anguko lolote la chadema zaidi ya chuki dhidi ya CCM kuongezeka maradufu
Watanzania gani au hao wachache, wenye uchu wa madaraka, wakitaka uhuru usio na mipaka wakidanganya kuwa Tanzania hakuna uhuru wa kufanya siasa!

Au Watanzania ninyi kwenye mitandao ya kijamii msiojitambua kutwa mkitetea mjasiriamali wa kisiasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichaa aka jiwe anapenda sana kitonga mdiyo maana kamweka ndani mbowe ili apate wepesi kwenye uchaguzi. Pamoja na mbowe kuwa ndani bado jiwe anaweweseka tu hata usingize hapati. Poor jiwe.
Mbowe kajipeleka mwenyewe korokoroni baada ya kukiuka taratibu za dhamana
 
Back
Top Bottom