Kuna athari kuoa mwanamke anayeanza mahusiano kwa vizinga

Kuna athari kuoa mwanamke anayeanza mahusiano kwa vizinga

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Ukweli bado vijana wengi tuna dhana ile tunaamini mwanamke ambaye hakuombi hela ndo anafaa kuwa mke sasa limeibuka wimbi kubwa la wanawake wapiga mizinga ukisikiliza maoni ya vijana wanasema wanawake hawa ni hit and run hawafai kuolewa.

Sasa nimeamua kuleta mada ili tupeane uzoefu kwa wanaume waliooa wanawake niliowataja hapo juu kuna vitu anataka nijue.

Kuna uwezekano mwanamke kama huyo akawa ni wife material ? .Akakuvumilia na atakuheshimu ata pale endapo utakuwa umeyumba.

Endapo utamshirikisha mipango yako Inawezekana kweli anaweza akaacha tabia ya ubinafsi na tamaa anaweza akawa mshauri mzuri wa pesa zako au miradi yako.

1619951323349.png

 
Kwani hao wanawake wenyewe wanasemaje
 
Wewe unaona wanaosema wanawake wanaopiga vizinga hawafai watakuwa wanadanganya ? wewe kama unahisi wanaongopa fanya chukua mmoja weka ndani tuletee mrejesho.EXPERIMENT IS BETTER THAN THEORY
 
Wewe unaona wanaosema wanawake wanaopiga vizinga hawafai watakuwa wanadanganya ? wewe kama unahisi wanaongopa fanya chukua mmoja weka ndani tuletee mrejesho.EXPERIMENT IS BETTER THAN THEORY
Kila nilipokuwa nataka kujaribu kuweka ndani nilikuwa naishia njiani kwa hofu mbeleni isijekuwa tatizo ndo mana nimeleta hapa tupeane uzoefu
 
Kila nilipokuwa nataka kujaribu kuweka ndani nilikuwa naishia njiani kwa hofu mbeleni isijekuwa tatizo ndo mana nimeleta hapa tupeane uzoefu
nakwambia usijeoa mwanamke mbinafsi hata itokee nini,kwenye vigezo vyako vya kuangalia mke kitu cha kwanza asiwe mbinafsi.hii kwa sababu mpaka mtu aitwe mbinafsi lazima atakuwa na tabia hizi. 1.rohombaya. 2.utapeli. 3.usaliti/mnafiki 4.fitina. 5.unyonyaji. 6.visasi. 7.pia anaweza kuwa mchawi fulani(mshirikina) Nakwambia hivi kwa sababu demu anayependa pesa kiasili ni mbinafsi sana.sasa kama wewe unaweza kuoa mke mwenye tabia hapo juu nakudhani utambadilisha binafsi nimeshakupa ukweli wa mambo ni wewe uchague kusuka au kunyoa
 
Back
Top Bottom