silipendagi hill jibu
Hii ni kumpa moyo kua tuki pamoja japo hatujampa jibu stahikisilipendagi hill jibu
Haha mkuu sasa utawashaje switch bila funguo?Haina madhara yoyote
Gari za siku hizi funguo unakaa nayo mfukoni tu na ukigusa button unawasha gari
Funguo inakuwa ya kufungukia milango tu
Sent from my SM using Tapatalk
Ndio maana nimesema za siku hizi
Yeees that's..Ndio maana nimesema za siku hizi
Gari zinabadilishwa kila mwaka na kuna vitu siku hizi zinakuja kwenye gari kama standard
Hapo mimi nimeongelea gari za sasa
Hapo chini picha inaonyesha start and stop engine huhitaji kuchomeka funguo View attachment 854247View attachment 854248
Sent from my SM using Tapatalk
The car i drive now is keyless
The same...ndo maana nikamuuliza ni aina gani ya gari?The car i drove now is keyless
Sent from my SM using Tapatalk
Hahahaha mbona kutekenya?Unazungumzia gari gani kwanza? Coz mfano mimi hata ufunguo huwaga sometime sijui nimeweka mfuko gani wa mkoba[emoji15] [emoji15], so natekenya starter natelezaaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo angetuambia ni aina gani na ya mwaka gani ndio tungeelewa
Buana picha zimegomaaa daah!....nilitaka nikuoneshe the same na yako tuu!Hahahaha mbona kutekenya?
Nimeipenda hiyo
Sent from my SM using Tapatalk
Itakuwa......Mara nyingi cresta hizi na old model za kuanzia 2005 kushuka chini ndio funguo za hivyoo!Hapo angetuambia ni aina gani na ya mwaka gani ndio tungeelewa
Naona ni old model
Sent from my SM using Tapatalk
Hahahaha usijali nikija airport utakuja kunichukuaBuana picha zimegomaaa daah!....nilitaka nikuoneshe the same na yako tuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata milango hufungulii na funguo ni mwendo wa kubonyeza button ya kitasa tuu!Haina madhara yoyote
Gari za siku hizi funguo unakaa nayo mfukoni tu na ukigusa button unawasha gari
Funguo inakuwa ya kufungukia milango tu
Sent from my SM using Tapatalk
Haaahaaa na wewe uko mtoni?Hahahaha usijali nikija airport utakuja kunichukua
Sent from my SM using Tapatalk