Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Sasa yeye anaulizia kuendesha baada ya kuchomoa funguo. Push to start switch funguo inachomekwa wapi? Ye nadhani anazungumzia gari za kuwashwa kwa funguo za kuchomekaUnazungumzia gari gani kwanza? Coz mfano mimi hata ufunguo huwaga sometime sijui nimeweka mfuko gani wa mkoba[emoji15] [emoji15], so natekenya starter natelezaaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
BTW naomba lift kwenye hako kaVitz kako.... hahahah LOL natania usije ukanichamba kama Shunie anavyonichambaga