Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hivi tangu enzi za Mzee Mwinyi kuna awamu kweli iliwahi kutelekeza watumishi wa umma kwa kiwango hiki tunachokiona katika awamu hii?
Yaani wakati mishahara serikalini ikifahamika kuwa ni midogo,mtu unaamua kuifanya iwe duni zaidi kwa kutoa hata annual increment?
Je,huku sio kukosa ubinadamu na kutojali hali ya maisha ya watu wengine?
Kama haitoshi,bado ukaongeza makato kwa ajili ya kulipia mikopo ya Bodi ya Mikopo kutoka asilimia 8 mpaka 15!!!!
Kwa hakika huku ni kutokujali maisha ya watu kwa kiwango kikbubwa sana!!
Yaani wakati mishahara serikalini ikifahamika kuwa ni midogo,mtu unaamua kuifanya iwe duni zaidi kwa kutoa hata annual increment?
Je,huku sio kukosa ubinadamu na kutojali hali ya maisha ya watu wengine?
Kama haitoshi,bado ukaongeza makato kwa ajili ya kulipia mikopo ya Bodi ya Mikopo kutoka asilimia 8 mpaka 15!!!!
Kwa hakika huku ni kutokujali maisha ya watu kwa kiwango kikbubwa sana!!