Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 762
- 1,597
Nchi nilipo sasa hivi kweli Ni kubwa lakini watu waishio huku wanapata tabu maji shida, barabara taabu, Afya shida, umeme ndo kabisa ukiwauliza habari ya matumizi ya gesi ya kupikia hawaelewi kabisaa.
Jamani kuna maeneo bado loh! Picha nimekatazwa kupiga.
Jamani kuna maeneo bado loh! Picha nimekatazwa kupiga.