Kuna baadhi ya members wakichangia tu uzi wako unabuma sijui wana nyota gani?!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinikumbushe ya Baba swalehe nilimwambia Jose mwanzo kama ni utani sitaki mana mkishindwa badae mnajifanya mlitania
Ngoja tusubiri
 
ndo maana ukaamua na huu uzi wako kuususa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinikumbushe ya Baba swalehe nilimwambia Jose mwanzo kama ni utani sitaki mana mkishindwa badae mnajifanya mlitania
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ivi jose hajaja kumbe
 
Hivi comment na likes zinakufaidisha vipi wewe mleta mada? Mambo ya likes waachie Facebook
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…