Kwa mme wangu Mshanahiyo nyota ww umeitoa wapi?
aaanha basi kumbee, hongera.Kwa mme wangu Mshana
Analazimisha nyota huyu jamaaMchawi usibumishe uzi wa watu
So What?. Dogo lazima utanyooka tuSijui ni kwenye Thread zangu tu au na Zenu pia?
Yaani hata Thread iwe Nzuri na Inatrend Vizuri kuna baadhi ya Members yaani wakichangia tu hapohapo na Uzi una Buma.
Yaani Uzi unakosa wachangiaji na hata Viewers wanapungua sijui huwa wana nguvu gani ya Kubumisha Uzi namna hiyo.
Kama kuna likes zilikua zinatoka Wakishachangia tu hawa jamaa Likes zinakata Ghafla sijui huwa wanaushawishi gani hawa Members.
Mwambie abadili id na avatar ajiite 'sweetgirl' atafikisha comment k hukoAnalazimisha nyota huyu jamaa
Asanteeeeaaanha basi kumbee, hongera.
Kama la nady or umemzidipo kidogoSina mm flat tecno
Ndio wanga wenyewe hao mkuuSijui ni kwenye Thread zangu tu au na Zenu pia?
Yaani hata Thread iwe Nzuri na Inatrend Vizuri kuna baadhi ya Members yaani wakichangia tu hapohapo na Uzi una Buma.
Yaani Uzi unakosa wachangiaji na hata Viewers wanapungua sijui huwa wana nguvu gani ya Kubumisha Uzi namna hiyo.
Kama kuna likes zilikua zinatoka Wakishachangia tu hawa jamaa Likes zinakata Ghafla sijui huwa wanaushawishi gani hawa Members.
Nilikuwa sifahamu mpwa.....sasa wao wanafaidika vipi na hizo comments nyingi na like...!!?Ulikuwa hujui[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Watu wanalilia comment
Duuh! Mdogo wangu umewaza nilichokuwa nakiwaza mie.Doh, sasa ukipata likes na komenti nyingi zinakusaidia nini mkuu katika maisha yako ya kila siku?
Daa wew kijana unaonesha wazi hisia zako kwani mpaka sasa mimi najua wewe ni chadema nadhani pia sio kosa la member ila heading zako unavoziandika unafanya watu waziruke bila kufungua yaani hazina mvutoSijui ni kwenye Thread zangu tu au na Zenu pia?
Yaani hata Thread iwe Nzuri na Inatrend Vizuri kuna baadhi ya Members yaani wakichangia tu hapohapo na Uzi una Buma.
Yaani Uzi unakosa wachangiaji na hata Viewers wanapungua sijui huwa wana nguvu gani ya Kubumisha Uzi namna hiyo.
Kama kuna likes zilikua zinatoka Wakishachangia tu hawa jamaa Likes zinakata Ghafla sijui huwa wanaushawishi gani hawa Members.
Comment or like hazinamaaana saana katika thread ujumbe kama umefika umefika tu na pia huku weng washazoea maneno mepesi mepesi ukiandika kile cha ndani zaid watu hawacoment kwakuwa hawaelewi na wanaogopa kuingia katika mitegoSijui ni kwenye Thread zangu tu au na Zenu pia?
Yaani hata Thread iwe Nzuri na Inatrend Vizuri kuna baadhi ya Members yaani wakichangia tu hapohapo na Uzi una Buma.
Yaani Uzi unakosa wachangiaji na hata Viewers wanapungua sijui huwa wana nguvu gani ya Kubumisha Uzi namna hiyo.
Kama kuna likes zilikua zinatoka Wakishachangia tu hawa jamaa Likes zinakata Ghafla sijui huwa wanaushawishi gani hawa Members.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] mtoa mada kajua kunichekesha. .hauwez kuwa wewe mdogo angu niamini mim[emoji3]Dada au mm hapaaa?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kweli dada, hakuna haja ya kulalamika wakati hazina faida yoyote. Just be happyDuuh! Mdogo wangu umewaza nilichokuwa nakiwaza mie.
Mie sionagi kama zina faida sababu kuna nyuzi unakuta zina page kibao na likes ila ukiangalia vilivyoandikwa vya maana havizidi 20.
Apunguze presha maisha ndio haya haya na ujumbe kama kufika unafika tu hata pasi wachangiaji na likes nyingi.