Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Subiri picha kama unavomsubiri YesuHaha nin babe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri picha kama unavomsubiri YesuHaha nin babe?
Kama anavosubiri Yesu akujeAnisubirie tu jamani nitamtumia
tukutane taifa basi ujue mbivu na mbichi[emoji112] [emoji123]
Hahah najua hayupo taifa huyo[emoji23] [emoji23]Subiri picha kama unavomsubiri Yesu
Iwe serious mana nikiwekaga dau na watu tukifunga wanakimbia kabisa wanajifanya ni utaniWeka Dau lako
Angalia isiwe kinyumeHawana pa kutokea mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Subiri picha kama unavomsubiri Yesu
EwaaaaaaaaKama anavosubiri Yesu akuje
Hahhaha nipo bana uko na nini lakini mzee wa chelseaHahah najua hayupo taifa huyo[emoji23] [emoji23]
Hamna tabu weka dau piaIwe serious mana nikiwekaga dau na watu tukifunga wanakimbia kabisa wanajifanya ni utani
Nasubir muweke dau..mim nashika pesaHahhaha nipo bana uko na nini lakini mzee wa chelsea
Haha hapo kuna kina hajar,ukhuty,ulewso,mlima simba,mndali,usser,davet, wakija wanabadili na mada kabisa[emoji23] [emoji23]haha kuna watu kama demiss hazard jollie shunie hawa wakikaa pamoja utakoma kucoment, maana wanashambulia haoooo, ili mradi nyuzi yako iwe hot,..
hawachani nyuzi hawa
sawa kabisa nliwasahau hawaHaha hapo kuna kina hajar,ukhuty,ulewso,mlima simba,mndali,usser,davet, wakija wanabadili na mada kabisa[emoji23] [emoji23]
20 kwa upande wanguHamna tabu weka dau pia
50k hapa[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]20 kwa upande wangu
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85] sema kweli kaka sio sisi ndio wenye magunduhaha kuna watu kama demiss hazard jollie shunie hawa wakikaa pamoja utakoma kucoment, maana wanashambulia haoooo, ili mradi nyuzi yako iwe hot,..
hawachani nyuzi hawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasubir muweke dau..mim nashika pesa
Wooooozeeeeer kwahiyo hiyo utanipa mm eenh50k hapa[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
yeah utanitafutaWooooozeeeeer kwahiyo hiyo utanipa mm eenh