Kuna baadhi ya viongozi wa Simba wanamsumbua Msuva wiki hii yote

Kuna baadhi ya viongozi wa Simba wanamsumbua Msuva wiki hii yote

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Kuna Viongozi wa Simba wanamsumbua Simon Msuva, huku muda mwingi wa mapumziko anapotoka mazoezi wakimpigia simu na kumdadisi awaambie baadhi ya mambo yanayowahusu wydad, tukumbuke kuwa Msuva alicheza wydad kwa kipindi kirefu na anawajua nje ndani, pia anajua mbinu zao chafu na safi ndani na nje ya uwanja.

Pia tukumbuke Msuva alilipwa zaidi ya bilioni moja na wydad kwasababu ya kukiuka mambo ya kimkataba.

Niwashauri simba waache kusumbua kijana wa watu, wawekeze akili yao na nguvu yao katika mbinu na mazoezi na pia kujenga tactic game plan yao, mambo ya kumsumbua Msuva hayatawasaidia hata kidogo, jengeni saikolojia zenu, mtayarisheni kipa wenu wa mchongo bwana Ally Salim.

Nawapa Simba uwezekano wa asilimia 2% kati ya 100 ya kufuzu hatua ya nusu fainali, na Yanga nawapa asilimia 50% kati ya 100 ya kufuzu shirikisho nusu fainali, kombe ambalo hata hao Simba the giants hawajwahi kufuzu.
 
Kuna Viongozi wa Simba wanamsumbua Simon Msuva , huku muda mwingi wa mapumziko anapotoka mazoezi wakimpigia simu na kumdadisi awaambie baadhi ya mambo yanayowahusu wydad, tukumbuke kuwa Msuva alicheza wydad kwa kipindi kirefu na anawajua nje ndani , pia anajua mbinu zao chafu na safi ndani na nje ya uwanja, pia tukumbuke Msuva alilipwa zaidi ya bilioni moja na wydad kwasababu ya kukiuka mambo ya kimkataba.

Niwashauri simba waache kusumbua kijana wa watu, wawekeze akili yao na nguvu yao katika mbinu na mazoezi na pia kujenga tactic game plan yao, mambo ya kumsumbua msuva hayatawasaidia hata kidogo, jengeni saikolojia zenu, mtayarisheni kipa wenu wa mchongo bwana ally salim.

nawapa simba uwezekano wa asilimia 2% kati ya 100 ya kufuzu hatua ya nusu fainli, na yanga nawapa asilimia 50% kati ya 100 ya kufuzu shirikisho nusu fainali, kombe ambalo hata hao simba the giants hawajwahi kufuzu.
kuna ubaya gani wakimpigia
 
Asante kwa kutambua kwamba Simba ndio GIANTS.. sasa hawajawah kufuzu wapi?? Ila leo Wydad watapigwa pale pale kwao..
 
Kuna Viongozi wa Simba wanamsumbua Simon Msuva, huku muda mwingi wa mapumziko anapotoka mazoezi wakimpigia simu na kumdadisi awaambie baadhi ya mambo yanayowahusu wydad, tukumbuke kuwa Msuva alicheza wydad kwa kipindi kirefu na anawajua nje ndani, pia anajua mbinu zao chafu na safi ndani na nje ya uwanja.

Pia tukumbuke Msuva alilipwa zaidi ya bilioni moja na wydad kwasababu ya kukiuka mambo ya kimkataba.

Niwashauri simba waache kusumbua kijana wa watu, wawekeze akili yao na nguvu yao katika mbinu na mazoezi na pia kujenga tactic game plan yao, mambo ya kumsumbua Msuva hayatawasaidia hata kidogo, jengeni saikolojia zenu, mtayarisheni kipa wenu wa mchongo bwana Ally Salim.

Nawapa Simba uwezekano wa asilimia 2% kati ya 100 ya kufuzu hatua ya nusu fainali, na Yanga nawapa asilimia 50% kati ya 100 ya kufuzu shirikisho nusu fainali, kombe ambalo hata hao Simba the giants hawajwahi kufuzu.
Unatupa maswali kuelewa wewe ni nani kwa Msuva, hata unayoongea ni blaa blaa blaa blaa zisizo na tija yoyote@
 
Kinacho kwenda kutokea ni jambo la kawaida, Kama vile Simba mnavyo tamba Kwa Mkapa Hatoki mtu ndivyo Wydad wanavyo kwenda kufanya pale Mohamed V stadium.

Tofauti italetwa na idadi ya Magoli yatakayo fungwa.
 
Back
Top Bottom