Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
japo polepole anajitahidi kwa kiwango flani ila the rest ni hovyo sanaWewe unaweweseka tu na kujitoa ufahamu ila nikuambie tu ni Tanzania tu cheo cha ubalozi na waambata wake wanageuza ni sehemu ya kwenda kutalii na kula bata tu.
Leo hii ukiangalia tangible outcomes walizotoa ni chache na za kuhesabu.
Nchi zingine ziko serious kwenye ujasusi wale mabalozi au waambata wao ni wanausalama na ni maafisa wa idara za usalama.
Ndio maana hata DG wa TISS Iddi Siwa alikuwa balozi hapo Rwanda.
Ila kwa Tanzania ubalozi inaonekana ni turufu ya shukrani kwa wazee wa CCM ila wenzetu wako macho kukodolea fursa mbalimbali wanapokuwa ng'ambo.
Mawazo yako mufilisiNi vi ajira fulani hivi vya kiusaliti kwa nchi. British Council na Allaaa Franswaa(kituo cha utamaduni cha ufaransa?) Ndio zao, ni extension ya TISS ya nchi hizo.
Ila sijamsema Sugu na Bongo flavor honour
YerewiiiiiAllaaa Franswaa
Sii kweli!,balozi zote duniani zikiwemo balozi za Tanzania,zina ajira za aina mbili,Ni vi ajira fulani hivi vya kiusaliti kwa nchi. British Council na Allaaa Franswaa(kituo cha utamaduni cha ufaransa?) Ndio zao, ni extension ya TISS ya nchi hizo.
Ila sijamsema Sugu na Bongo flavor honour
Wewe kwenye ubalozi wa UK ulikuwa 'kama vile'Sii kweli!,balozi zote duniani zikiwemo balozi za Tanzania,zina ajira za aina mbili,
1。 Wanabalozi, the diplomats,hawa ni maofisa wenye hadhi ya ubalozi,ndio wenye kinga za kibalozi,diplomatic immunity。
2。Local staff。hawa ni watumishi wa ngazi za kiutawala ambao hawana hadhi ya ubalozi, wakiwemo wenza wa wanabalozi。
Wale diplomats,nchi husika inatuma watu wake wowote the best kwenye nchi hiyo wakiwemo wale 'jamaa zetu' ili wapate wanachokitaka。
lakini hawa local staff ni watu wa nchi husika, the locals kufanya kazi ndogo ndogo za ofisi,udereva, uhudumu,utawala, accounts na habari, ambazo zitafanyika kwa ufanisi zaidi ukiwatumia the locals kuliko ungewatumia the diplomats。
hawa locals wanaoajiriwa ubalozini sio wasaliti,ni wazalendo na wengine ndio kama vile!。
P
Mkuu, kwema?Sii kweli!,balozi zote duniani zikiwemo balozi za Tanzania,zina ajira za aina mbili,
1。 Wanabalozi, the diplomats,hawa ni maofisa wenye hadhi ya ubalozi,ndio wenye kinga za kibalozi,diplomatic immunity。
2。Local staff。hawa ni watumishi wa ngazi za kiutawala ambao hawana hadhi ya ubalozi, wakiwemo wenza wa wanabalozi。
Wale diplomats,nchi husika inatuma watu wake wowote the best kwenye nchi hiyo wakiwemo wale 'jamaa zetu' ili wapate wanachokitaka。
lakini hawa local staff ni watu wa nchi husika, the locals kufanya kazi ndogo ndogo za ofisi,udereva, uhudumu,utawala, accounts na habari, ambazo zitafanyika kwa ufanisi zaidi ukiwatumia the locals kuliko ungewatumia the diplomats。
hawa locals wanaoajiriwa ubalozini sio wasaliti,ni wazalendo na wengine ndio kama vile!。
P
Wapewe ToR kisha wapimwe kwa KPI za wazi kabisa. Mchezo utakuwa umeisha!....hazina tija....
Mleta mada hasipo kuwa Makini atakushambulia wakati umemuunga Mkono kwa aina yake!....ni wazalendo na wengine ndio kama vile!。
Paskali umesahau kuwa wanaajiri pia wananchi wetu ili kuwapatia habari za kila siku za kisiasa na kiuchumi nk. Hawa wanaitwa maafisa habari (Information Officer). Huwa wanafuatilia vyombo vya habari kila siku na kutayarisha ripoti ndogo ambayo husomwa na balozi na hata kuzituma huko Ulaya. Siyo ujasusi baali inasaidia kupata intelligence report ya kila mwezi inayoandikwa na baloziSii kweli!,balozi zote duniani zikiwemo balozi za Tanzania,zina ajira za aina mbili,
1。 Wanabalozi, the diplomats,hawa ni maofisa wenye hadhi ya ubalozi,ndio wenye kinga za kibalozi,diplomatic immunity。
2。Local staff。hawa ni watumishi wa ngazi za kiutawala ambao hawana hadhi ya ubalozi, wakiwemo wenza wa wanabalozi。
Wale diplomats,nchi husika inatuma watu wake wowote the best kwenye nchi hiyo wakiwemo wale 'jamaa zetu' ili wapate wanachokitaka。
lakini hawa local staff ni watu wa nchi husika, the locals kufanya kazi ndogo ndogo za ofisi,udereva, uhudumu,utawala, accounts na habari, ambazo zitafanyika kwa ufanisi zaidi ukiwatumia the locals kuliko ungewatumia the diplomats。
hawa locals wanaoajiriwa ubalozini sio wasaliti,ni wazalendo na wengine ndio kama vile!。
P
The truth wenzetu wako very far ahead kwenye utambuzi wa wale 'kama vile', mimi niliajiriwa nikiwa New Delhi, nimefanya nao kazi kwa miaka 4, nikaomba kuacha mwenyewe, ukiwa ni 'kama vile', haupangi wewe unapangiwa!.Wewe kwenye ubalozi wa UK ulikuwa 'kama vile'
Nikikusoma "between the lines" naona wataka kuua ndege wawili kwa jiwe moja.Ni vi ajira fulani hivi vya kiusaliti kwa nchi. British Council na Allaaa Franswaa(kituo cha utamaduni cha ufaransa?) Ndio zao, ni extension ya TISS ya nchi hizo.
Ila sijamsema Sugu na Bongo flavor honour
Mkuu chiembe ,kwema kabisa!,tunasubiria tuu Jumatano,Mkuu, kwema?
Wewe ni snitch, unajulikana fika.The truth wenzetu wako very far ahead kwenye utambuzi wa wale 'kama vile', mimi niliajiriwa nikiwa New Delhi, nimefanya nao kazi kwa miaka 4, nikaomba kuacha mwenyewe, ukiwa ni 'kama vile', haupangi wewe unapangiwa!.
Mimi kosa langu ni kuzaliwa familia ya kivile kwa both parents, hivyo kuonekana na mimi ni kama vile!。
Juzi kati nilikuwa US kwa private visit,nikaamua ku interact na diaspora wetu,watu waliingia mitini!,ndipo kuna mmoja akanishika sikio,kuwa jamaa wanakuogopa wametonywa kuwa mimi ni 'wale jamaa zetu',that ”I'm a man in a mission” kuwachunguza!, niliishia ku interact na Wakenya na Waganda!。
p