Moo Click
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,495
- 3,236
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio bia moja we sema tu "BALIMI"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio bia moja we sema tu "BALIMI"
Arusha hakuna Balimi mkuu. Nikienda Kanda ya ziwa huwa nazitandika sawasawaBalimi ipo kila kona chief kwa bei rahisi sana ya 20,600/=
Kwa nini huku Kanda ya kaskazi wanatubania bia pendwa?!!Bingwa ipo sana nyanda za juu kusini.
Mkuu acha ushamba...Kuna bia moja ya TBL ninaipenda lakini iko kwenye ukanda fulani na haipatikani kwenye mkoa niliopo ambapo pia nina vibiashara vyangu vya kinywaji na ningependa kuiuza hapa.
Nilipomuuliza mmoja wa wahusika nikaambiwa hiyo ni ya ukanda huo tu hairuhusiwi kuuzwa nje ya ukanda!
Novida ya chupa ushawahi iona lindiSoda ndio najua ginger ale ya bonite ndio ipo ukanda wa kaskazini pekee
Nakumbuka. Lakini kila kitu kinatakiwa kitumike kwa kiasi!Iliwadhalilisha watu miaka ya 90, matajiri waliachia kila kitu kwenye suruali na kupoteza fahamu
Nashukuru. Kilichonishangaza ni huyu mhusika kuniambia hairuhusiwi. Ina maana nikipita Iringa na gari yangu nikanunua kreti kumi nikaja kuuza kwenye bar yangu Arusha au Moshi nitashitakiwa? Hope you understand the logic behind my questionMkuu acha ushamba...
1. Ungeweka mambo yote bayana
2. TBL sio wajinga na sio kwamba hawapendi hela yani kibiashara wako radhi hata wasambaze Dunia nzima wauze ili wapate hela.
3. Ukiona ivyo unavyo ona ni kwamba wamefanya utafiti wa masoko kwamba ni bia gani inafanya vizuri na kwa maeneo gani na ndio maana ikawa ivyo bia kama Balimi inajulikana kabisa ni kanda ya ziwa bia kama safari na kilimanjaro iyo ni kaskazini iko ivyo kulingana na mapendeleo ya watu wa maeneo husika
Bingwa Arusha na Moshi haipatikani kabisa.Bia Bingwa
Nilikunywaga hapa Dar kitunda shule mwaka 2013 na sikuiona tena.Eagle lager wanaume wa Dar hawaiwezi hiyo!
Huwezi kuokuta Daslam!
Eagle lager wanaume wa Dar hawaiwezi hiyo!
Huwezi kuokuta Daslam!