Kuna binadamu asiyekufa? Kwanini tusikitike wakati kifo ni lazima na ibada?

Kuna binadamu asiyekufa? Kwanini tusikitike wakati kifo ni lazima na ibada?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
samia_suluhu_hassan
Nimesikitishwa na taarifa za kifo cha Malkia Elizabeth II. Kwa niaba ya Watanzania wote, natuma salamu za pole kwa Familia ya Kifalme na raia wote wa Uingereza. Malkia atakumbukwa duniani kote kama nguzo ya Amani, Umoja na Utulivu.
 
Hivi unaelewa hata maana ya diplomasia? Unajuwa kwamba Malkia ndio mkuu wa Commonwealth ikiwemo Tanzania?

Huko SAUT ulienda kuzurura au kusoma? Na kama kweli ulisoma basi hujaelimika.
Hangaika Kwanza na Mkeo anayekusaliti 24/7 na Dereva Bodaboda na mkiyamaliza rejea Kwangu sawa?

Huna Akili........!!!!!!!
 
UNCIVILISED PEOPLE
Sioni haja ya watu kutambuana mahala wanapoishi, makabila yao au mahala waliposoma. Hii forum ni kwaajiri ya kupanuana mawazo, kuelelimisha, kupeana connection, etc. Sasa kwann hawa members wawili wanafikia hatua kama hiyo??. Kama unaona comment zake haziko sawa, lanini povu??. Though, inaonekana hawa members wanajuana physically but how comes you came here with your difference??.

Aisee, Watz tujaribu kustarabika. Kifo cha Elizabeth II kilitokea England nyie mnakabana mashart bongo, how this sounds like??

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Wenye masikitiko ya kweli kwa Sasa Ni wachache.
Mfano wao ni:
Wanaoteswa na mapenzi na kula hasara.
Wanao bet na kuliwa kisa timu 1.
Wapo wachache mno.
#Tuelewane 🤑
 
Hivi huko Bunda kwenu kuna lolote unalolielewa mbwa wewe?

Namuita daktari wa kutibu kichaa chako LIKUD njoo utibu huyu mgonjwa wako wa akili.
Mbwa ni Yule aliyekuzaa na siyo Mimi sawa? Hii leo mara ya 5 unamuita huyo Basha wako ila kinachonishangaza wala hajawahi Kukuitikia huoni kuwa ameshakudharau kama unavyodharaulika na wengi hapa Jamiiforums?

Mimi niko Pemba na nimeshasema hili hapa Kitambo tu nashangaa Kutwa unakurupuka kusema niko Bunda na yawezekana huko Bunda ndiko wanaishi Mabasha zako wengi hivyo Unawamisi.

Pumbavu.
 
UNCIVILISED PEOPLE
Sioni haja ya watu kutambuana mahala wanapoishi, makabila yao au mahala waliposoma. Hii forum ni kwaajiri ya kupanuana mawazo, kuelelimisha, kupeana connection, etc. Sasa kwann hawa members wawili wanafikia hatua kama hiyo??. Kama unaona comment zake haziko sawa, lanini povu??. Though, inaonekana hawa members wanajuana physically but how comes you came here with your difference??.

Aisee, Watz tujaribu kustarabika. Kifo cha Elizabeth II kilitokea England nyie mnakabana mashart bongo, how this sounds like??

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Kaone haka kambwa koko nako.
 
Back
Top Bottom