Vipi tena MwanaCCM mwenzangu?Hapa nchini hatuheshimu kabisa taaluma.
Wenye kula keki ni wanasiasa tu.
Kila siku yanaibuka misamiati mipya kujustify kula kwao.
Sasa hivi kuna kitu kinaitwa maridhiano huu ndio msamiati mpya kwa sasa.
Kama taaluma zingeheshimika usingekuta watu wanasoma bila kujua kama ataweza kujiajiri au kuajiriwa.
Ila hapa Tanzania unakuta mpaka mwenye PHD hana uhakika na maisha.
Hahah.. Kwani wasio na kazi wanagonga mlango wa nani kuomba chakula ama mahitaji.? Aliyewaumba atawajali kama wahusika wameweka flight mode. [emoji4]Hakuna ushirikina hakuna chuma ulete changaamsha ubongo huo tafuta kazi ya kufanya.
Unacheka ama unachekelea? [emoji4]Chief unamjua niliyemjibu alikuwa anaongelea hoja gani! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah chief acha kukurupuka nakushauri, yaani acha kweli. Hivi unajua aliyelinganisha ni yupi boss[emoji23][emoji23][emoji23]
CCM imeshindwa kabisa jamani tuiondoe sasa wengine wafanye kazi.Huwa nikitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hususani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.
Juzi nimemuona mtu ana masters anauza nguo za mitumba kwa kutembeza mpaka jioni hajauza hata mia tano na anataka kula na ana familia. Nikamuonea huruma nikampa elfu tano.
Hakuna mkakati wowote wa serikali wa kushughurika na hii unemployment rate kubwa ambayo aimeibuka ghafla as if tayari tuko kwenye full employment.
Mfano shule hazina walimu wa arts, sayansi wala biashara ziko empty kabisa. Ukienda mashuleni utamkuta mwl wa physics anafundisha kuanzisha form one Hadi form six peke yake na wanafunzi ni wengi sana. Vivyohovyo kwa arts.
Hakuna sababu kwa Nini kuwe na unemployment kubwa hivyo wakati employment vacancies zipo ispokuwa tu ni poor planning na kuwachukulia vijana poa tu.
Siyo wote wanaojiuza mtaani wanapenda serikali Bado haioni tatizo liko wapi zaidi sana wanakimbizana nao tu ili kuwakamata.
Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters.
Slowly mnatengeneza vikundi viovu bila kujijua. Mi nawaonea huruma sana vijana na badala ya Serikali kashughulikia swala hilo ndo Bado inadeal na wanasiasa sijui maridhiano asijua asali.
Pumbafu unaona wanao angaika ni wasomi tu wengine uwaoni?huyo msomi ulitaka asitembeze mitumba hili hiyo kazi aifanye nani? Elimu bila hela ni kazi buleHuwa nikitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hususani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.
Juzi nimemuona mtu ana masters anauza nguo za mitumba kwa kutembeza mpaka jioni hajauza hata mia tano na anataka kula na ana familia. Nikamuonea huruma nikampa elfu tano.
Hakuna mkakati wowote wa serikali wa kushughurika na hii unemployment rate kubwa ambayo aimeibuka ghafla as if tayari tuko kwenye full employment.
Mfano shule hazina walimu wa arts, sayansi wala biashara ziko empty kabisa. Ukienda mashuleni utamkuta mwl wa physics anafundisha kuanzisha form one Hadi form six peke yake na wanafunzi ni wengi sana. Vivyohovyo kwa arts.
Hakuna sababu kwa Nini kuwe na unemployment kubwa hivyo wakati employment vacancies zipo ispokuwa tu ni poor planning na kuwachukulia vijana poa tu.
Siyo wote wanaojiuza mtaani wanapenda serikali Bado haioni tatizo liko wapi zaidi sana wanakimbizana nao tu ili kuwakamata.
Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters.
Slowly mnatengeneza vikundi viovu bila kujijua. Mi nawaonea huruma sana vijana na badala ya Serikali kashughulikia swala hilo ndo Bado inadeal na wanasiasa sijui maridhiano asijua asali.
Kwa kiwango chake cha elimu degree mbili iyo kaz anaifanya mtu yoyote hata ambae ajasoma.Elimu yake aijaleta impact hata yeye akutegemea kama atafanya iyo kaz sema maisha tu yamempeleka uko..Pumbafu unaona wanao angaika ni wasomi tu wengine uwaoni?huyo msomi ulitaka asitembeze mitumba hili hiyo kazi aifanye nani? Elimu bila hela ni kazi bule
Wabunge wenye akili timamu ni wa kuhesabu sana. Tusitegemee mabadiriko.Huwa nikitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hususani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.
Juzi nimemuona mtu ana masters anauza nguo za mitumba kwa kutembeza mpaka jioni hajauza hata mia tano na anataka kula na ana familia. Nikamuonea huruma nikampa elfu tano.
Hakuna mkakati wowote wa serikali wa kushughurika na hii unemployment rate kubwa ambayo aimeibuka ghafla as if tayari tuko kwenye full employment.
Mfano shule hazina walimu wa arts, sayansi wala biashara ziko empty kabisa. Ukienda mashuleni utamkuta mwl wa physics anafundisha kuanzisha form one Hadi form six peke yake na wanafunzi ni wengi sana. Vivyohovyo kwa arts.
Hakuna sababu kwa Nini kuwe na unemployment kubwa hivyo wakati employment vacancies zipo ispokuwa tu ni poor planning na kuwachukulia vijana poa tu.
Siyo wote wanaojiuza mtaani wanapenda serikali Bado haioni tatizo liko wapi zaidi sana wanakimbizana nao tu ili kuwakamata.
Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters.
Slowly mnatengeneza vikundi viovu bila kujijua. Mi nawaonea huruma sana vijana na badala ya Serikali kashughulikia swala hilo ndo Bado inadeal na wanasiasa sijui maridhiano asijua asali.
Kula like aiseeHuwa nikitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hususani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.
Juzi nimemuona mtu ana masters anauza nguo za mitumba kwa kutembeza mpaka jioni hajauza hata mia tano na anataka kula na ana familia. Nikamuonea huruma nikampa elfu tano.
Hakuna mkakati wowote wa serikali wa kushughurika na hii unemployment rate kubwa ambayo aimeibuka ghafla as if tayari tuko kwenye full employment.
Mfano shule hazina walimu wa arts, sayansi wala biashara ziko empty kabisa. Ukienda mashuleni utamkuta mwl wa physics anafundisha kuanzisha form one Hadi form six peke yake na wanafunzi ni wengi sana. Vivyohovyo kwa arts.
Hakuna sababu kwa Nini kuwe na unemployment kubwa hivyo wakati employment vacancies zipo ispokuwa tu ni poor planning na kuwachukulia vijana poa tu.
Siyo wote wanaojiuza mtaani wanapenda serikali Bado haioni tatizo liko wapi zaidi sana wanakimbizana nao tu ili kuwakamata.
Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters.
Slowly mnatengeneza vikundi viovu bila kujijua. Mi nawaonea huruma sana vijana na badala ya Serikali kashughulikia swala hilo ndo Bado inadeal na wanasiasa sijui maridhiano asijua asali.
Hawez kusaidia wananchi ni wao na familia zao.Wabunge wenye akili timamu ni wa kuhesabu sana. Tusitegemee mabadiriko.
Serious. Hii nchi ishaoza na watu hawana Ubunifu.Hawez kusaidia wananchi ni wao na familia zao.
Duuh eti overpopulation.. bila shaka wewe ni mwanasiasa ..hakuna kitu kama hicho kwa Tz , zipo nchi nyingi zenye idadi kubwa ya watu na hawana tatizo la ajira.Overpopulation ni tatizo kubwa linalochangia ukosefu wa ajira. Kasi ya ukuaji wa idadi ya watu inabidi kudhibitiwa ukichangia kasi ya ukuaji uchumi wetu ni ndogo.
Ameongelea jambo la ukweli.Hali ni mbaya aisee.alafu ni kipindi kigumu sana kwa jobless yan unaona giza mbele acha tu.kipind icho wanawake wanakuogopa kama ukoma.Kula like aisee
Tz ni changamoto.mfano ajira za jwtz kigezo umri usiozid 27 degree na master mtu kajitolea miaka 2 kakaa mtaan miaka 3 ajira zinatangazwa ana miaka 28-30 aruhusiwi kuajiriwa.Mbunge ni darasa 7 yan ni changamoto.Serious. Hii nchi ishaoza na watu hawana Ubunifu.
Cc: Angalia ajira za Majeshi na vigezo vyao.
Angalia vigezo ili uwe Mbunge..
Angalia michakato ya Ajira huko serikalini mpk Rais asimame aongee ndio mambo yaende.
Haya mambo ukiyawaza utaumwa kichwa bure. Ni kushukuru Mungu kama Afya ipo fresh basi.Tz ni changamoto.mfano ajira za jwtz kigezo umri usiozid 27 degree na master mtu kajitolea miaka 2 kakaa mtaan miaka 3 ajira zinatangazwa ana miaka 28-30 aruhusiwi kuajiriwa.Mbunge ni darasa 7 yan ni changamoto.
Hakuna kitu kama hicho Tanzania, hakuna idadi yyte kubwa ya watu na wala tatzo la ajira halitokani na idadi kubwa ya watu.Hapa tunataka utekelezaji wa sera ya China ya mtoto mmoja kwa familia moja na ukizaa nje ya ndoa upigwe fine kubwa au kufungwa jela.
Tukiweza hiyo tutapunguza idadi ya watu na baadae mambo yatakaa sawa.
Kabisa.kwasababu muajiri mkubwa ni private sector.Hakuna kitu kama hicho Tanzania, hakuna idadi yyte kubwa ya watu na wala tatzo la ajira halitokani na idadi kubwa ya watu.
Tatizo linatoka uhaba wa uwekezaji sekta binafsi, ma kampuni, mashirika etc.
Haha ... very funnyTz ni changamoto.mfano ajira za jwtz kigezo umri usiozid 27 degree na master mtu kajitolea miaka 2 kakaa mtaan miaka 3 ajira zinatangazwa ana miaka 28-30 aruhusiwi kuajiriwa.Mbunge ni darasa 7 yan ni changamoto.
ndivyo munavyojiaminisha lakini kiwango cha ongezeko wa watu kwa Tz ni kikubwa sana ukilinganisha na kiwango cha maendeleo ya utoaji wa huduma (elimu, afya na hata hizo ajira).Duuh eti overpopulation.. bila shaka wewe ni mwanasiasa ..hakuna kitu kama hicho kwa Tz , zipo nchi nyingi zenye idadi kubwa ya watu na hawana tatizo la ajira.
Nchi ili kukuwa kiuchumi inahitaji nguvu kazi nguvu kazi ni pamoja ni idadi kubwa ya watu..ndivyo munavyojiaminisha lakini kiwango cha ongezeko wa watu kwa Tz ni kikubwa sana ukilinganisha na kiwango cha maendeleo ya utoaji wa huduma (elimu, afya na hata hizo ajira).