Kuna bomu linakaribia kulipuka muda wowote

Kuna bomu linakaribia kulipuka muda wowote

Hapa nchini hatuheshimu kabisa taaluma.

Wenye kula keki ni wanasiasa tu.

Kila siku yanaibuka misamiati mipya kujustify kula kwao.

Sasa hivi kuna kitu kinaitwa maridhiano huu ndio msamiati mpya kwa sasa.

Kama taaluma zingeheshimika usingekuta watu wanasoma bila kujua kama ataweza kujiajiri au kuajiriwa.

Ila hapa Tanzania unakuta mpaka mwenye PHD hana uhakika na maisha.
Vipi tena MwanaCCM mwenzangu?
 
Hakuna ushirikina hakuna chuma ulete changaamsha ubongo huo tafuta kazi ya kufanya.
Hahah.. Kwani wasio na kazi wanagonga mlango wa nani kuomba chakula ama mahitaji.? Aliyewaumba atawajali kama wahusika wameweka flight mode. [emoji4]
 
Chief unamjua niliyemjibu alikuwa anaongelea hoja gani! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah chief acha kukurupuka nakushauri, yaani acha kweli. Hivi unajua aliyelinganisha ni yupi boss[emoji23][emoji23][emoji23]
Unacheka ama unachekelea? [emoji4]
 
Huwa nikitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hususani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.

Juzi nimemuona mtu ana masters anauza nguo za mitumba kwa kutembeza mpaka jioni hajauza hata mia tano na anataka kula na ana familia. Nikamuonea huruma nikampa elfu tano.

Hakuna mkakati wowote wa serikali wa kushughurika na hii unemployment rate kubwa ambayo aimeibuka ghafla as if tayari tuko kwenye full employment.

Mfano shule hazina walimu wa arts, sayansi wala biashara ziko empty kabisa. Ukienda mashuleni utamkuta mwl wa physics anafundisha kuanzisha form one Hadi form six peke yake na wanafunzi ni wengi sana. Vivyohovyo kwa arts.

Hakuna sababu kwa Nini kuwe na unemployment kubwa hivyo wakati employment vacancies zipo ispokuwa tu ni poor planning na kuwachukulia vijana poa tu.

Siyo wote wanaojiuza mtaani wanapenda serikali Bado haioni tatizo liko wapi zaidi sana wanakimbizana nao tu ili kuwakamata.

Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters.

Slowly mnatengeneza vikundi viovu bila kujijua. Mi nawaonea huruma sana vijana na badala ya Serikali kashughulikia swala hilo ndo Bado inadeal na wanasiasa sijui maridhiano asijua asali.
CCM imeshindwa kabisa jamani tuiondoe sasa wengine wafanye kazi.
 
Huwa nikitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hususani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.

Juzi nimemuona mtu ana masters anauza nguo za mitumba kwa kutembeza mpaka jioni hajauza hata mia tano na anataka kula na ana familia. Nikamuonea huruma nikampa elfu tano.

Hakuna mkakati wowote wa serikali wa kushughurika na hii unemployment rate kubwa ambayo aimeibuka ghafla as if tayari tuko kwenye full employment.

Mfano shule hazina walimu wa arts, sayansi wala biashara ziko empty kabisa. Ukienda mashuleni utamkuta mwl wa physics anafundisha kuanzisha form one Hadi form six peke yake na wanafunzi ni wengi sana. Vivyohovyo kwa arts.

Hakuna sababu kwa Nini kuwe na unemployment kubwa hivyo wakati employment vacancies zipo ispokuwa tu ni poor planning na kuwachukulia vijana poa tu.

Siyo wote wanaojiuza mtaani wanapenda serikali Bado haioni tatizo liko wapi zaidi sana wanakimbizana nao tu ili kuwakamata.

Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters.

Slowly mnatengeneza vikundi viovu bila kujijua. Mi nawaonea huruma sana vijana na badala ya Serikali kashughulikia swala hilo ndo Bado inadeal na wanasiasa sijui maridhiano asijua asali.
Pumbafu unaona wanao angaika ni wasomi tu wengine uwaoni?huyo msomi ulitaka asitembeze mitumba hili hiyo kazi aifanye nani? Elimu bila hela ni kazi bule
 
Pumbafu unaona wanao angaika ni wasomi tu wengine uwaoni?huyo msomi ulitaka asitembeze mitumba hili hiyo kazi aifanye nani? Elimu bila hela ni kazi bule
Kwa kiwango chake cha elimu degree mbili iyo kaz anaifanya mtu yoyote hata ambae ajasoma.Elimu yake aijaleta impact hata yeye akutegemea kama atafanya iyo kaz sema maisha tu yamempeleka uko..
 
Huwa nikitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hususani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.

Juzi nimemuona mtu ana masters anauza nguo za mitumba kwa kutembeza mpaka jioni hajauza hata mia tano na anataka kula na ana familia. Nikamuonea huruma nikampa elfu tano.

Hakuna mkakati wowote wa serikali wa kushughurika na hii unemployment rate kubwa ambayo aimeibuka ghafla as if tayari tuko kwenye full employment.

Mfano shule hazina walimu wa arts, sayansi wala biashara ziko empty kabisa. Ukienda mashuleni utamkuta mwl wa physics anafundisha kuanzisha form one Hadi form six peke yake na wanafunzi ni wengi sana. Vivyohovyo kwa arts.

Hakuna sababu kwa Nini kuwe na unemployment kubwa hivyo wakati employment vacancies zipo ispokuwa tu ni poor planning na kuwachukulia vijana poa tu.

Siyo wote wanaojiuza mtaani wanapenda serikali Bado haioni tatizo liko wapi zaidi sana wanakimbizana nao tu ili kuwakamata.

Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters.

Slowly mnatengeneza vikundi viovu bila kujijua. Mi nawaonea huruma sana vijana na badala ya Serikali kashughulikia swala hilo ndo Bado inadeal na wanasiasa sijui maridhiano asijua asali.
Wabunge wenye akili timamu ni wa kuhesabu sana. Tusitegemee mabadiriko.
 
Huwa nikitembea mtaani nasikitika sana vijana wanavyohangaika hususani Hawa waliomaliza vyuo vikuu bila ajira yoyote na serikali ni kama imejivua jukumu na kuwaona wakawaida tu kana kwamba wao hawataki maisha.

Juzi nimemuona mtu ana masters anauza nguo za mitumba kwa kutembeza mpaka jioni hajauza hata mia tano na anataka kula na ana familia. Nikamuonea huruma nikampa elfu tano.

Hakuna mkakati wowote wa serikali wa kushughurika na hii unemployment rate kubwa ambayo aimeibuka ghafla as if tayari tuko kwenye full employment.

Mfano shule hazina walimu wa arts, sayansi wala biashara ziko empty kabisa. Ukienda mashuleni utamkuta mwl wa physics anafundisha kuanzisha form one Hadi form six peke yake na wanafunzi ni wengi sana. Vivyohovyo kwa arts.

Hakuna sababu kwa Nini kuwe na unemployment kubwa hivyo wakati employment vacancies zipo ispokuwa tu ni poor planning na kuwachukulia vijana poa tu.

Siyo wote wanaojiuza mtaani wanapenda serikali Bado haioni tatizo liko wapi zaidi sana wanakimbizana nao tu ili kuwakamata.

Haiingii akilini mtu anasoma muhimbili five years halafu AA anakuja kuwa bodaboda au kuuza kahawa mtaani. Kuuza kahawa hakuhitaji degree wala masters.

Slowly mnatengeneza vikundi viovu bila kujijua. Mi nawaonea huruma sana vijana na badala ya Serikali kashughulikia swala hilo ndo Bado inadeal na wanasiasa sijui maridhiano asijua asali.
Kula like aisee
 
Hawez kusaidia wananchi ni wao na familia zao.
Serious. Hii nchi ishaoza na watu hawana Ubunifu.
Cc: Angalia ajira za Majeshi na vigezo vyao.

Angalia vigezo ili uwe Mbunge..

Angalia michakato ya Ajira huko serikalini mpk Rais asimame aongee ndio mambo yaende.
 
Overpopulation ni tatizo kubwa linalochangia ukosefu wa ajira. Kasi ya ukuaji wa idadi ya watu inabidi kudhibitiwa ukichangia kasi ya ukuaji uchumi wetu ni ndogo.
Duuh eti overpopulation.. bila shaka wewe ni mwanasiasa ..hakuna kitu kama hicho kwa Tz , zipo nchi nyingi zenye idadi kubwa ya watu na hawana tatizo la ajira.
 
Serious. Hii nchi ishaoza na watu hawana Ubunifu.
Cc: Angalia ajira za Majeshi na vigezo vyao.

Angalia vigezo ili uwe Mbunge..

Angalia michakato ya Ajira huko serikalini mpk Rais asimame aongee ndio mambo yaende.
Tz ni changamoto.mfano ajira za jwtz kigezo umri usiozid 27 degree na master mtu kajitolea miaka 2 kakaa mtaan miaka 3 ajira zinatangazwa ana miaka 28-30 aruhusiwi kuajiriwa.Mbunge ni darasa 7 yan ni changamoto.
 
Tz ni changamoto.mfano ajira za jwtz kigezo umri usiozid 27 degree na master mtu kajitolea miaka 2 kakaa mtaan miaka 3 ajira zinatangazwa ana miaka 28-30 aruhusiwi kuajiriwa.Mbunge ni darasa 7 yan ni changamoto.
Haya mambo ukiyawaza utaumwa kichwa bure. Ni kushukuru Mungu kama Afya ipo fresh basi.
 
Hapa tunataka utekelezaji wa sera ya China ya mtoto mmoja kwa familia moja na ukizaa nje ya ndoa upigwe fine kubwa au kufungwa jela.

Tukiweza hiyo tutapunguza idadi ya watu na baadae mambo yatakaa sawa.
Hakuna kitu kama hicho Tanzania, hakuna idadi yyte kubwa ya watu na wala tatzo la ajira halitokani na idadi kubwa ya watu.

Tatizo linatoka uhaba wa uwekezaji sekta binafsi, ma kampuni, mashirika etc.
 
Hakuna kitu kama hicho Tanzania, hakuna idadi yyte kubwa ya watu na wala tatzo la ajira halitokani na idadi kubwa ya watu.

Tatizo linatoka uhaba wa uwekezaji sekta binafsi, ma kampuni, mashirika etc.
Kabisa.kwasababu muajiri mkubwa ni private sector.
 
Tz ni changamoto.mfano ajira za jwtz kigezo umri usiozid 27 degree na master mtu kajitolea miaka 2 kakaa mtaan miaka 3 ajira zinatangazwa ana miaka 28-30 aruhusiwi kuajiriwa.Mbunge ni darasa 7 yan ni changamoto.
Haha ... very funny
 
Stage inayofuata ni vijana kuikimbia nchi yao na kwenda kutafuta fursa ughaibuni...

Kila mwaka vijana wanahitimu na kumwagwa uraini,

serikali imeshindwa kutengeneza mgumo wa ajira rasmi, wala ku support vijana walioamuwa kujiajiri kwenye ajira zisizo rasmi..
 
Duuh eti overpopulation.. bila shaka wewe ni mwanasiasa ..hakuna kitu kama hicho kwa Tz , zipo nchi nyingi zenye idadi kubwa ya watu na hawana tatizo la ajira.
ndivyo munavyojiaminisha lakini kiwango cha ongezeko wa watu kwa Tz ni kikubwa sana ukilinganisha na kiwango cha maendeleo ya utoaji wa huduma (elimu, afya na hata hizo ajira).
 
ndivyo munavyojiaminisha lakini kiwango cha ongezeko wa watu kwa Tz ni kikubwa sana ukilinganisha na kiwango cha maendeleo ya utoaji wa huduma (elimu, afya na hata hizo ajira).
Nchi ili kukuwa kiuchumi inahitaji nguvu kazi nguvu kazi ni pamoja ni idadi kubwa ya watu..

Tanzania haihitaji kuwa na idadi ndogo ya watu la hasha , tunahitaji sekta binafsi na wawekezaji wenye makampuni kila kona ya mkoa , na serikali iangalia njia mpya za kutengeneza ajira ili ipate kodi kutoka kwa awafanya kazi


Hata hao china uliowatolea mfano na sera zao hizo za miaka hiyo , imapct yake wamekuja kuiona kipindi kile cha covid... yani china ina wazee wengi kuliko vijana na vijana nao hawazaliani..

Mfano mwingine fikiria nchi kama canada .. raia ni wachache sana .. kiasi kwamba nchi inategemea immigrants kama nguvu kazi yake.. ni kwasababu hizo
 
Back
Top Bottom