Kuna chochote cha kutarajia kwenye mkutano wa kilele kati ya Marekani na Afrika?

Kuna chochote cha kutarajia kwenye mkutano wa kilele kati ya Marekani na Afrika?

Huu ni upumbavu mkubwa kutokea kwako, ungekua ni ujinga ungeelimika, hii ni mada na kila mtu anaijadili kwa hoja sio matusi, prove me wrong kwa hoja sio matusi, anyway never mind haya ni matokeo ya UPE na shule za kata, debate hoja iliyopo mbele yetu
Mbona umekuwa mbogo hivyo.Polepole sasa!Uli-generalize wana JF kwamba hawawezi kuchangia mambo mema.Unaona ni sawa kutuweka wana JF kwamba ni wajinga sana?Tafakari.Usijibu harakaharaka.
 
Kwani nyie mende wa china mna maana gani?
 
Fanya kazi wewe, utapasuka kwa kijiba cha roho. Ulitaka ajifungie ndani ili iweje? Dunia ni kijiji, huwezi kuongoza nchi kwa kuchutama ndani kama mwanamwali. Acha akutane na wenzake kwa ajili ya kushare experience na kufungua fursa za uwekezaji.
Kushea nini labda fashion mpya za suti..ila kuhusu maendeleo ya nchi hapo sahau.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni mada nzuri sana, lakini chuki dhidi ya madam president Samia Suluhu Hassan waliyonayo wachawi fulani humu imeshaanza kuharibu radha. Kama ingelikuwa mada hii inajadiliwa kwa kina, hasara na faida zake zinawekwa mezani, kwa mifano kamili isiyo na shaka, basi mada ingeliwafaa hata ndugu zetu wanaosoma.......lakini ndo hivyo tena, hapa tusubirie tu hoja za sijui kupanda basi, ushungi, kuwa na wajomba Oman, atatajwa JK hapa kama kawaida; Makamba akikosa kutajwa hapa leo basi itakuwa ameamka vizuri sana.

Kuna wakati ukiufikiria huo unaoitwa ugreat thinker, unaweza kujikuta unaisapoti mada ile iliyoanzishwa jana inayosema bora wazungu wazaane zaidi isije dunia ikabaki na wzjinga watupu.
Kwa serikali hii bora kujitoa akili tu..mana yanayofanyika behind the scene watanzania wange yaona hakika hao viongozi wasingeendelea kuwepo hapo...kiufupi hatna viongozi bali gege la wezi.

Wasio na huruma kwa wananchi na kizazi kijacho.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wanaalikwa kila uchao kwenda marekani na wakifika wanapiga mapicha meeeengiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na kuposti kwenye mitandao yao ya kijamii ooh nikiwa sijui na nani nikiwa na nani lakini hatujawahi kuona impact yoyote ya mamikutano hayo ni kupoteza hela tu, imagine nchi masikini kama yetu delegation ya Rais kila baada ya wiki kadhaa inakuwa ulaya na marekani, huku nyuma mnakamuana tozo ili kuendesha mambo, kuna mahali tumekosea sana. HAYO MAMIKUTANO NI ULAJI HAYANA TIJA KWA WANANCHI.
 
Back
Top Bottom