Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
Ni Uzi wa kujaribu kuomba Nia ovu iliyopo moyoni mwa haters iwe kweli.....yaani nchi iharibike kama wanavyotaka wasiompenda mama Samia.
Suala la utekaji nchi hii halijaanza Leo, lilikuwepo miaka mingi tu katika tawala za nyuma. Kilele kilikuwa pale ilipofikia Hadi mtu kupigwa risasi nyiiingi mchana kweupeee. Hakukuwa na maandamano Wala nyimbo za kumkashifu kiongozi wa kipindi hicho. Sikusikia au niseme sikubahatika kuisikia kauli ya kiongozi mkuu akiagiza vyombo vifanye uchunguzi au hata kukemea tu.
Sasa hivi inaonekana yanaendelea mambo hayo yapo, ajabu kelele zimechukua mkondo tofauti.......mama anatukanwa na propaganda ya kuagiza kuteka inasambazwa kwa kasi ya mafuta ya petrol. Kama inavyofahamika, wingi wa wajinga na wapumbavu weeengi katika taifa hili basi wapo wanayoyashika.
Ukweli Kuna mawimbi makubwa kweli kweli anaandaliwa huyu mama...yampasa kusimama imara. Issue hapa Wala sio utekaji (ingawa Kuna mauaji mbalimbali yanaendelea kwa raia n.k); Bali hoja iliyopo ni kuhakikisha anaharibikiwa. Uanamke wake, dini yake na uzanzibari wake ndiyo vyanzo vikuu....zingine hizi ni 'tutoke vipi' zao tu.
Suala la utekaji nchi hii halijaanza Leo, lilikuwepo miaka mingi tu katika tawala za nyuma. Kilele kilikuwa pale ilipofikia Hadi mtu kupigwa risasi nyiiingi mchana kweupeee. Hakukuwa na maandamano Wala nyimbo za kumkashifu kiongozi wa kipindi hicho. Sikusikia au niseme sikubahatika kuisikia kauli ya kiongozi mkuu akiagiza vyombo vifanye uchunguzi au hata kukemea tu.
Sasa hivi inaonekana yanaendelea mambo hayo yapo, ajabu kelele zimechukua mkondo tofauti.......mama anatukanwa na propaganda ya kuagiza kuteka inasambazwa kwa kasi ya mafuta ya petrol. Kama inavyofahamika, wingi wa wajinga na wapumbavu weeengi katika taifa hili basi wapo wanayoyashika.
Ukweli Kuna mawimbi makubwa kweli kweli anaandaliwa huyu mama...yampasa kusimama imara. Issue hapa Wala sio utekaji (ingawa Kuna mauaji mbalimbali yanaendelea kwa raia n.k); Bali hoja iliyopo ni kuhakikisha anaharibikiwa. Uanamke wake, dini yake na uzanzibari wake ndiyo vyanzo vikuu....zingine hizi ni 'tutoke vipi' zao tu.