Kuna Dada anauza uji soko la Stereo, leo kapigwa marufuku kwa kuwa ni msimu wa Ramadhani

Kuna Dada anauza uji soko la Stereo, leo kapigwa marufuku kwa kuwa ni msimu wa Ramadhani

Status
Not open for further replies.
Vipi huko Zanjibar
Bado hawajapiga marufuku kula chakula mchana magengeni ?

Hii dini ingeshika dola, wote tungesilimishwa kwa lazima.
Zanzibar ni nchi ya kiislamu ni ukweli usiopingika, ukienda Zanzibar ufuate mila na desturi za Zanzibar.

Siku moja nilisali kanisa la mkunazini pale mji mkongwe waimbaji kwaya wanawake wote kichwani wamejistiri nywele kama tuonavyo wafanyavyo wanawake wa kiislamu au masista watawa.
 
Habari!

Kuna matukio lukuki ambayo yanaweza kutumika kama mifano ya unafiki wa baadhi ya Waislamu katika kipindi cha Ramadhani.
Mimi leo nitatoa mfano mmoja tu ambao nimeushudia leo SOKO LA STEREO Temeke.

Kuna mdada anauza uji katika soko la STEREO sasa leo kapigwa marufuku kwakuwa ni msimu wa Ramadhani.

Maswali ya kujiuliza;
- Mbona Kwaresma imeanza muda tu na sasa inaendelea lakini hakuna Mtanzania aliyepewa masharti ya namna ya kuuza au kula chakula chake halali?.

- Funga ni jambo la kiimani, je, imani zenu ni haba kiasi kwamba mkiona chakula mnazitupa mbali hizo imani?
Nahisi kuna taarifa nyingine hukutupa. Unasema kuna dada yamemfika ya kumfika. Swali: Kwa nini huyu mmoja tu? Yeye peke yake tu ndiye siyo Muislamu hapo? Au ni Muislamu na kwa sababu hiyo Waislamu wenzake wanamkanya asifanye afanyayo? Kama wateja wote wa hapo ni Waislamu wanaofunga kiukweli, mbona yeye mwenyewe atasimamisha biashara bila kuambiwa baada ya kuona anakaa hapo kutwa hakuna mteja hata mmoja kwa kuwa watu wamefunga. Huko ndiyo kufunga kihalisi: unajikatalia kula wakati unakiona chakula kipo na uwezo wa kukinunua unao. Siyo kuingilia masuala ya watu wengine ambao Ramadhani haiwahusu. Mbona Kwaresima ilianza wiki tano zilizopita na hakuna mtu anayebughudhiwa? Wafungaji wa Kwaresma wanajijua wao wenyewe.Hhawamuingilii mtu asiyehusika na ufungaji wao.
 
Hapo ni swala la tamaduni, na hizo ni tamaduni zetu watu wa pwani.
Na ndio sehemu zenye waislam wengi
Hizo tamaduni haziwezi kuoneka Bara coz sio maeneo yenye waislam wengi.
Ikiwa mgeni wa Pwani lazina Uta shangaa
Mmetaka kuja Pwani basi fuateni tamaduni zetu hamutaki rudini kwenu
Ukitaka ujinga wa hivyo katengeneze dunia yako.Huna pwani yoyote wewe.
 
Na hapo usiku wakitoka kwenye "Taraweeh" watapita maeneo ya madadapoa nakutembeza bakora.😁!

Kesho wataanza kutaka baa na mabanda ya kitimoto yafungwe pia.

Hii nchi inahitaji mtu umiliki hata ka-Glock 19 hivi au Sig Sauer P320.

Too many fools.
 
Mbona amuruhusiwi kuchinja au hilo kuna sheria inayo sema hivyo?.
Nani kakwambia wakristo hawaruhusiwi kuchinja?.usione watu wenye busara wamewapuuza mkajiona wajanja wakati wakristo wakiweka msimamo nyie ndo mnakua wakwanza kutoa mlio.
 
Umekazania taratibu za wenyeji, aliyekwambia hii nchi inaendeshwa kienyeji nani? Hii nchi inaendeshwa kwa katiba na sheria sio kwa mila na desturi.

Ndio maana mila kama ukeketaji zinapigwa marufuku wazi wazi, kwanza unafikiri tungefuata huo upuuzi unaouita taratibu za wenyeji hii Tanzania pangekalika?

Waislam hamjastaarabika kabisa hasa wa huku Afrika ambao mmeupokea kutoka kwa hao waarabu, kwa ujinga wa sababu yako hiyo hiyo ndio maana Nigeria, Cameroon na hata Sudan hamuishi mnaua watu .
Wewe ustaarabu umejifunzia huku pwani alafu unasema sio wastaarabu.
Nyie munauwana kila kukicha alafu unajiona mstaarabu
 
Ndio maana leo wengi wa Wateja wangu wa siku zote wa KITIMOTO siwaoni, kumbe Ramadhani imeanza!
 
Mwezi ukipita madhambi kama yote. Hii dini mi naipenda sana..nipo mbioni kuhamia huko

Nyinyi Kwani kwa Rezma si huwa mnajifanya wema kuliko siku zingine au [emoji1787][emoji1787]...
Utasikia niko kwa Rezma sinywi pombe sasa hivi[emoji23][emoji23][emoji1787] unajiuliza Kwani pombe dhambi kwenu ila utakuta mtu anaacha kipindi hicho
 
Haha Pale mungu anapokupatia ratiba ya kufanya dhambi..

Nyinyi ratiba yenu ya kwa Rezma ikoje [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] si mnasisitizwa kutubu ?! Siku zote Mungu anakua hayupo au
 
Wewe ustaarabu umejifunzia huku pwani alafu unasema sio wastaarabu.
Nyie munauwana kila kukicha alafu unajiona mstaarabu
Thibitisha ustaarabu nimejifunzia huko na thibitisha sehemu ambayo wakristo wanauana ovyo!

Ndio matatizo ya kusoma shule/vyuo vya kidini kiasi unatetea hadi ujinga, kuna elimu dunia kijana usijihau sana.
 
Ndio kishapigwa marufuku na hakuna cha kufanya [emoji1787]
Unalinganisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na Kwa Rezma ambayo ni Ibada ya Wakatoliki na bado Wakatoliki wenyewe hawaifati.

Hawajielewi mara kkkt nao utawasikia wako kwa Rezma Mara wengine wanafunga siku nzima mara wengine wanafunga kula ugali mara wengine wanafunga kunywa pombe kiufupi hiyo kwa Rezma wao wenyewe hawajielewi
 
Hawajielewi mara kkkt nao utawasikia wako kwa Rezma Mara wengine wanafunga siku nzima mara wengine wanafunga kula ugali mara wengine wanafunga kunywa pombe kiufupi hiyo kwa Rezma wao wenyewe hawajielewi
Wawe wanajielewa ama hawajielewi haijalishi. Kinacho matter hapa ni nyinyi mkifunga kulazimisha watu wengine wafuate utaratibu wenu na hiko kitu hakipo sawa. Mnavuka mipaka ya haki za binadamu
 
Funga ni jambo la kiimani, je, imani zenu ni haba kiasi kwamba mkiona chakula mnazitupa mbali hizo imani?[emoji848][emoji2827]
Ajabu sana..Haya mambo ya dini haya! Dini zenyewe za kuletewa na wazungu na waarabu wakati wa kuwachukua babu zetu utumwani.. zinatugonganisha vichwa. Kila mtu abaki na imani yake.. mambo ya kukwazana kidini yatatuchafulia amani yetu
 
Thibitisha ustaarabu nimejifunzia huko na thibitisha sehemu ambayo wakristo wanauana ovyo!

Ndio matatizo ya kusoma shule/vyuo vya kidini kiasi unatetea hadi ujinga, kuna elimu dunia kijana usijihau sana.

Mbeya
Usukumani huko
Musoma huko
Na kwengine kwingi mnapiga mapanga na kuchunana ngozi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom