Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Zanzibar ni nchi ya kiislamu ni ukweli usiopingika, ukienda Zanzibar ufuate mila na desturi za Zanzibar.Vipi huko Zanjibar
Bado hawajapiga marufuku kula chakula mchana magengeni ?
Hii dini ingeshika dola, wote tungesilimishwa kwa lazima.
Nahisi kuna taarifa nyingine hukutupa. Unasema kuna dada yamemfika ya kumfika. Swali: Kwa nini huyu mmoja tu? Yeye peke yake tu ndiye siyo Muislamu hapo? Au ni Muislamu na kwa sababu hiyo Waislamu wenzake wanamkanya asifanye afanyayo? Kama wateja wote wa hapo ni Waislamu wanaofunga kiukweli, mbona yeye mwenyewe atasimamisha biashara bila kuambiwa baada ya kuona anakaa hapo kutwa hakuna mteja hata mmoja kwa kuwa watu wamefunga. Huko ndiyo kufunga kihalisi: unajikatalia kula wakati unakiona chakula kipo na uwezo wa kukinunua unao. Siyo kuingilia masuala ya watu wengine ambao Ramadhani haiwahusu. Mbona Kwaresima ilianza wiki tano zilizopita na hakuna mtu anayebughudhiwa? Wafungaji wa Kwaresma wanajijua wao wenyewe.Hhawamuingilii mtu asiyehusika na ufungaji wao.Habari!
Kuna matukio lukuki ambayo yanaweza kutumika kama mifano ya unafiki wa baadhi ya Waislamu katika kipindi cha Ramadhani.
Mimi leo nitatoa mfano mmoja tu ambao nimeushudia leo SOKO LA STEREO Temeke.
Kuna mdada anauza uji katika soko la STEREO sasa leo kapigwa marufuku kwakuwa ni msimu wa Ramadhani.
Maswali ya kujiuliza;
- Mbona Kwaresma imeanza muda tu na sasa inaendelea lakini hakuna Mtanzania aliyepewa masharti ya namna ya kuuza au kula chakula chake halali?.
- Funga ni jambo la kiimani, je, imani zenu ni haba kiasi kwamba mkiona chakula mnazitupa mbali hizo imani?
Ukitaka ujinga wa hivyo katengeneze dunia yako.Huna pwani yoyote wewe.Hapo ni swala la tamaduni, na hizo ni tamaduni zetu watu wa pwani.
Na ndio sehemu zenye waislam wengi
Hizo tamaduni haziwezi kuoneka Bara coz sio maeneo yenye waislam wengi.
Ikiwa mgeni wa Pwani lazina Uta shangaa
Mmetaka kuja Pwani basi fuateni tamaduni zetu hamutaki rudini kwenu
Hawa watu tunawalea sana ndo maana kunakua na mambo yakijinga kama haya.Temeke ni mji wa Saudi Arabia? Au kuna miji ya kidini hapa Tz? Fafanua
Nani kakwambia wakristo hawaruhusiwi kuchinja?.usione watu wenye busara wamewapuuza mkajiona wajanja wakati wakristo wakiweka msimamo nyie ndo mnakua wakwanza kutoa mlio.Mbona amuruhusiwi kuchinja au hilo kuna sheria inayo sema hivyo?.
Wewe ustaarabu umejifunzia huku pwani alafu unasema sio wastaarabu.Umekazania taratibu za wenyeji, aliyekwambia hii nchi inaendeshwa kienyeji nani? Hii nchi inaendeshwa kwa katiba na sheria sio kwa mila na desturi.
Ndio maana mila kama ukeketaji zinapigwa marufuku wazi wazi, kwanza unafikiri tungefuata huo upuuzi unaouita taratibu za wenyeji hii Tanzania pangekalika?
Waislam hamjastaarabika kabisa hasa wa huku Afrika ambao mmeupokea kutoka kwa hao waarabu, kwa ujinga wa sababu yako hiyo hiyo ndio maana Nigeria, Cameroon na hata Sudan hamuishi mnaua watu .
Mwezi ukipita madhambi kama yote. Hii dini mi naipenda sana..nipo mbioni kuhamia huko
Haha Pale mungu anapokupatia ratiba ya kufanya dhambi..
Thibitisha ustaarabu nimejifunzia huko na thibitisha sehemu ambayo wakristo wanauana ovyo!Wewe ustaarabu umejifunzia huku pwani alafu unasema sio wastaarabu.
Nyie munauwana kila kukicha alafu unajiona mstaarabu
Ndio kishapigwa marufuku na hakuna cha kufanya [emoji1787]
Unalinganisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani na Kwa Rezma ambayo ni Ibada ya Wakatoliki na bado Wakatoliki wenyewe hawaifati.
Wawe wanajielewa ama hawajielewi haijalishi. Kinacho matter hapa ni nyinyi mkifunga kulazimisha watu wengine wafuate utaratibu wenu na hiko kitu hakipo sawa. Mnavuka mipaka ya haki za binadamuHawajielewi mara kkkt nao utawasikia wako kwa Rezma Mara wengine wanafunga siku nzima mara wengine wanafunga kula ugali mara wengine wanafunga kunywa pombe kiufupi hiyo kwa Rezma wao wenyewe hawajielewi
Ajabu sana..Haya mambo ya dini haya! Dini zenyewe za kuletewa na wazungu na waarabu wakati wa kuwachukua babu zetu utumwani.. zinatugonganisha vichwa. Kila mtu abaki na imani yake.. mambo ya kukwazana kidini yatatuchafulia amani yetuFunga ni jambo la kiimani, je, imani zenu ni haba kiasi kwamba mkiona chakula mnazitupa mbali hizo imani?[emoji848][emoji2827]
Hata restaurants,wauza kitimoto wanapunguza kipimo mwezi huu hadi uishe,so hawezi kuuza uji kama siku zoteAuze sasa aone kama atapata wateja hapo kama Kila siku hata umwaga
Thibitisha ustaarabu nimejifunzia huko na thibitisha sehemu ambayo wakristo wanauana ovyo!
Ndio matatizo ya kusoma shule/vyuo vya kidini kiasi unatetea hadi ujinga, kuna elimu dunia kijana usijihau sana.