Kuna dada kaniambia "I love you"

funzadume

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2010
Posts
13,624
Reaction score
21,362
Kuna dada aliniomba nimsaidie kazi ofisini mie nimeoa naye kaolewa. Nilimsaidia na katikati wakati tunafanya kazi alininunulia vichocolate Fulani hivi vya kula na baadae juice.

Tulipiga kazi mpaka nikamaliza kumwelewesha ila mwisho wake akanishukuru sana na kusema I love you so much. Nilishtuka ila sikuonyesha na nilimjibu I love you too.

Nahisi kama nataka kukamatwa na uzee huu
 
I like you=Hii inatumika kuonesha kwamba unampenda mtu ila ule upendo usiyo husisha hsisia za kimapenzi,kama unapenda uwepo wake n.k

I love you=Hii inatumika baina ya watu wenye hisia za kimapenzi kwamba unampenda lakini upendo wenu umechukua hatua nyengine ya kutaka hadi kuonganisha nyuchi.



JIONGEZE!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ni sawa na nesi wa kike kukupa pole baada ya kukuchoma sindano,mkuu......
 
Alafu kakukosea sana adabu, anakununuliaje "vichocolate" mzee kama wewe?
 
Ww ni mzee wasema ,
Halafu ukapewa vichocolate na juice,
Boom grenade likarushwa, ukàtoa jibu kama na ww ulikua unatamani kupigwa bom,

Hauna tofauti na dada wa form2 alieambiwa ''i lv u" kwa chipsi yai[emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…