Kuna dada kaniambia "I love you"

Kuna dada kaniambia "I love you"

duu weee mzee mbona una lugha zenye ukakasi sana ha ha
Mie ni wale wazee wa kisasa sijui nikupe mfano gani unielewe kirahisi? yaani ni kama Mzee Mbwiga wa Clouds FM kama ushawahi kumuona
 
ila ushauli usile mbunye mpaka corona iishe mzee wa kazi
Kwani Korona inahusiana na mbunye? sema tumekatazwa kupiga denda tena alikataza mkuu kabisa mengine unayavalia barakoa na sanitizer
 
Mie ni wale wazee wa kisasa sijui nikupe mfano gani unielewe kirahisi? yaani ni kama Mzee Mbwiga wa Clouds FM kama ushawahi kumuona
ha ha namjua sana nyie wazee wa kinondoni nina mkuu wangu wa idara hapa ni prof aisee ni msela sana nikiwa nae batani hakuna u boss umetisha auncle
 
ha ha namjua sana nyie wazee wa kinondoni nina mkuu wangu wa idara hapa ni prof aisee ni msela sana nikiwa nae batani hakuna u boss umetisha auncle
Basi ndio dizaini hii wale ambao tukienda kutembelea miradi unaagiza wakuwekee na demu kabisa. Mambo ya kutongoza tulishaachaga
 
Basi ndio dizaini hii wale ambao tukienda kutembelea miradi unaagiza wakuwekee na demu kabisa. Mambo ya kutongoza tulishaachaga
umenikumbusha nilienda nae kwenye workshop dodoma tuko maeneo batani akawa anataka demu akaniambia kijana pambana nipate kazi ya kuvesha uskiu huu hatarii sana
 
umenikumbusha nilienda nae kwenye workshop dodoma tuko maeneo batani akawa anataka demu akaniambia kijana pambana nipate kazi ya kuvesha uskiu huu hatarii sana
Dah huyo atakuwa muhenga mwenzangu mie nikienda mkoa nikichukua hotel namwachia mhudumu elfu 5 anitafutie blankenti chapa mtu.
 
Dah huyo atakuwa muhenga mwenzangu mie nikienda mkoa nikichukua hotel namwachia mhudumu elfu 5 anitafutie blankenti chapa mtu.
huyo I LOVE U kafungua njia leo akipita mchokoze kizeezee mwambie chocolate tamu lkm kisukari (diabates) hakuna nyingine
ukiona kasimama kalegeza kiuno Mzee ngoma utachukua siku yoyote
Ila akiongeza mwendo na kufunga vioo subiri ataleta kazi ingine sasa hapo funga vioo na ongeza mafuta km huoni taraffic light ni njano wahiwahi mabo yako corona vinapotezaga muda ujue vinawaandalia teen wenzako mlo
 
Back
Top Bottom