ila ushauli usile mbunye mpaka corona iishe mzee wa kaziduu weee mzee mbona una lugha zenye ukakasi sana ha ha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila ushauli usile mbunye mpaka corona iishe mzee wa kaziduu weee mzee mbona una lugha zenye ukakasi sana ha ha
ha ha namjua sana nyie wazee wa kinondoni nina mkuu wangu wa idara hapa ni prof aisee ni msela sana nikiwa nae batani hakuna u boss umetisha auncleMie ni wale wazee wa kisasa sijui nikupe mfano gani unielewe kirahisi? yaani ni kama Mzee Mbwiga wa Clouds FM kama ushawahi kumuona
mate noma hapoKwani Korona inahusiana na mbunye? sema tumekatazwa kupiga denda tena alikataza mkuu kabisa mengine unayavalia barakoa na sanitizer
Basi ndio dizaini hii wale ambao tukienda kutembelea miradi unaagiza wakuwekee na demu kabisa. Mambo ya kutongoza tulishaachagaha ha namjua sana nyie wazee wa kinondoni nina mkuu wangu wa idara hapa ni prof aisee ni msela sana nikiwa nae batani hakuna u boss umetisha auncle
umenikumbusha nilienda nae kwenye workshop dodoma tuko maeneo batani akawa anataka demu akaniambia kijana pambana nipate kazi ya kuvesha uskiu huu hatarii sanaBasi ndio dizaini hii wale ambao tukienda kutembelea miradi unaagiza wakuwekee na demu kabisa. Mambo ya kutongoza tulishaachaga
Hahah na mie nimemwambia asidanganyike!!Maana ya i like u imeniua mbavu[emoji2296]
Dah huyo atakuwa muhenga mwenzangu mie nikienda mkoa nikichukua hotel namwachia mhudumu elfu 5 anitafutie blankenti chapa mtu.umenikumbusha nilienda nae kwenye workshop dodoma tuko maeneo batani akawa anataka demu akaniambia kijana pambana nipate kazi ya kuvesha uskiu huu hatarii sana
Hao wazee waache wapunguaziane stress za wenzaHahah na mie nimemwambia asidanganyike!!
Ila na nyie hamueleweki ona sasa mnamchanganya mzee wa watu kwa sentensi fupi kabisa ya (I love You)!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Amesema huyo mdada ni mdogo mbichi hvi kama wewe!!Hao wazee waache wapunguaziane stress za wenza
huyo I LOVE U kafungua njia leo akipita mchokoze kizeezee mwambie chocolate tamu lkm kisukari (diabates) hakuna nyingineDah huyo atakuwa muhenga mwenzangu mie nikienda mkoa nikichukua hotel namwachia mhudumu elfu 5 anitafutie blankenti chapa mtu.
Wewe ni kama baba yake so ni upendo wa binti kwa baba huo! Acha Nye.Ge mshua!😁😁😁Im a grown up man with university son. Kilichonishangaza alisema kwa aibu sana na alikuwa anasita.
Story tu hizo mi mzee halafu