Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,404
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana ya i like u imeniua mbavu[emoji2296]
Always pinga kwa fact!
Na akasahau kukwambia kuwa "like" inaonesha interest but "love" inaenda more deeper than that .mwalimu wangu wa communication skills alisema....I Like you hutumika sana sana na wamarekani wakiwa na hisia kali za kimapenzi kwa mtu fulan...bt I Love you hutumiwa na wa british[emoji848]..sasa sielewi ...labda wataalam wa linguistics waje kutusaidia hapa[emoji2089][emoji2089]
Sent using [Samsung galaxy s10]
Mkuu upo sahihi ila sasa kuna muda Usage inabadilika kutokana na Context iliyopo....Always pinga kwa fact!
Just relax,don't panic,hana tofauti na yule wa nyumbani,tofauti ni kwenye body tu,isikufanye ukasaliti ndoa yako...Kuna dada aliniomba nimsaidie kazi ofisini mie nimeoa naye kaolewa. Nilimsaidia na katikati wakati tunafanya kazi alininunulia vichocolate Fulani hivi vya kula na baadae juice.
Tulipiga kazi mpaka nikamaliza kumwelewesha ila mwisho wake akanishukuru sana na kusema I love you so much. Nilishtuka ila sikuonyesha na nilimjibu I love you too.
Nahisi kama nataka kukamatwa na uzee huu
Tatizo lake alikuwa na mtazamo hasi kwa hilo neno 😄Kwani wewe ulilieleweje hilo neno
"I love you so much "?
Mi nahisi alikwambia hivo kutokana na kupendezwa na umahiri wako.
Kuwa makini #Corona inaua.
Nimekukumbuka. Wewe ndiye mwenye nyumba tatu. Moja unayoishi ina thamani ya milioni 300 na nyingine za milioni 100. Najaribu kuwaza, uliwezaje kupata milioni 500 huku umeajiriwa kwa akili hizi ulizonazo. Btw sijasema wewe ni mjinga kabisa.Im a grown up man with university son. Kilichonishangaza alisema kwa aibu sana na alikuwa anasita.
We unashamgaaa mm nimeambiwa I hate you so much a nikamwagiwa na Wine niliyonunua watu mnabahatiKuna dada aliniomba nimsaidie kazi ofisini mie nimeoa naye kaolewa. Nilimsaidia na katikati wakati tunafanya kazi alininunulia vichocolate Fulani hivi vya kula na baadae juice.
Tulipiga kazi mpaka nikamaliza kumwelewesha ila mwisho wake akanishukuru sana na kusema I love you so much. Nilishtuka ila sikuonyesha na nilimjibu I love you too.
Nahisi kama nataka kukamatwa na uzee huu
Osha rungu hapo...ila jua ndio ndoa yako itaanza kuwa fall of gravity...Kuna dada aliniomba nimsaidie kazi ofisini mie nimeoa naye kaolewa. Nilimsaidia na katikati wakati tunafanya kazi alininunulia vichocolate Fulani hivi vya kula na baadae juice.
Tulipiga kazi mpaka nikamaliza kumwelewesha ila mwisho wake akanishukuru sana na kusema I love you so much. Nilishtuka ila sikuonyesha na nilimjibu I love you too.
Nahisi kama nataka kukamatwa na uzee huu
Hahhhahhhahhaa [emoji38][emoji38].marinating.. doh doh!Ngoja wachambuzi wa mapenzi watujuze kama umependwa au anakumarinate uendelee kutumika
sasa si ukatafuneLeo nimeonana nae tena kameniambia mchana ataniletea lunch. Hapa natengeneza njaa sinywi hata maji