Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna dada aliniomba nimsaidie kazi ofisini mie nimeoa naye kaolewa. Nilimsaidia na katikati wakati tunafanya kazi alininunulia vichocolate Fulani hivi vya kula na baadae juice.
Tulipiga kazi mpaka nikamaliza kumwelewesha ila mwisho wake akanishukuru sana na kusema I love you so much. Nilishtuka ila sikuonyesha na nilimjibu I love you too.
Nahisi kama nataka kukamatwa na uzee huu
Duuh kwahiyo tuseme mimi nikimuambia mwanamke mwenzangu "I love you" maana yake nataka tufike huko ?? We dunia hebu simama tu mi nishuke kwa kweli !!I like you=Hii inatumika kuonesha kwamba unampenda mtu ila ule upendo usiyo husisha hsisia za kimapenzi,kama unapenda uwepo wake n.k
I love you=Hii inatumika baina ya watu wenye hisia za kimapenzi kwamba unampenda lakini upendo wenu umechukua hatua nyengine ya kutaka hadi kuonganisha nyuchi.
JIONGEZE!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukwaju kweli wewe ni mtaalamuhuyo I LOVE U kafungua njia leo akipita mchokoze kizeezee mwambie chocolate tamu lkm kisukari (diabates) hakuna nyingine
ukiona kasimama kalegeza kiuno Mzee ngoma utachukua siku yoyote
Ila akiongeza mwendo na kufunga vioo subiri ataleta kazi ingine sasa hapo funga vioo na ongeza mafuta km huoni taraffic light ni njano wahiwahi mabo yako corona vinapotezaga muda ujue vinawaandalia teen wenzako mlo
Hapa nadhani umetugusa wengi...ebu dadavua kidogo broWrite your reply...ndo nyie kwenye text mnaandikiwa au mnaitwa My na mdada mnazani mnapendwa
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Alafu kakukosea sana adabu, anakununuliaje "vichocolate" mzee kama wewe?
Kwa ushauri zaidi kamwambie mkeoKuna dada aliniomba nimsaidie kazi ofisini mie nimeoa naye kaolewa. Nilimsaidia na katikati wakati tunafanya kazi alininunulia vichocolate Fulani hivi vya kula na baadae juice.
Tulipiga kazi mpaka nikamaliza kumwelewesha ila mwisho wake akanishukuru sana na kusema I love you so much. Nilishtuka ila sikuonyesha na nilimjibu I love you too.
Nahisi kama nataka kukamatwa na uzee huu
Mkuu piga kazi upo Tz aka bongoland.Kuna dada aliniomba nimsaidie kazi ofisini mie nimeoa naye kaolewa. Nilimsaidia na katikati wakati tunafanya kazi alininunulia vichocolate Fulani hivi vya kula na baadae juice.
Tulipiga kazi mpaka nikamaliza kumwelewesha ila mwisho wake akanishukuru sana na kusema I love you so much. Nilishtuka ila sikuonyesha na nilimjibu I love you too.
Nahisi kama nataka kukamatwa na uzee huu
Mzee mwenzangu mbona umeingia wivu ha ha ha
Mnachotakiwa ni kujua matumizi sahihi kwa muda sahihi kingine ni kuwa unajua maana ya "kutaka hadi?"Duuh kwahiyo tuseme mimi nikimuambia mwanamke mwenzangu "I love you" maana yake nataka tufike huko ?? We dunia hebu simama tu mi nishuke kwa kweli !!
blanketi chapa mtu..[emoji23][emoji23][emoji23]Dah huyo atakuwa muhenga mwenzangu mie nikienda mkoa nikichukua hotel namwachia mhudumu elfu 5 anitafutie blankenti chapa mtu.