Uchaguzi 2020 Kuna dalili CCM itawakata wengi walioongoza na hawataweza kwenda upinzani

Sio dawa bado watakuwa na muda.
Siku wakikatwa siku hiyo wanateuliwa na upinzani wanaenda kuchukua form NEC katika muda ule ule ambao na hao wateule wa CCM watakakuwa wanachukuwa form hizo.
Hili linawezekana kabisa!
 
Mwaka huu ccm imetaitiwa kila upande...imabanwa mbavu zote haina pa kupumulia haina pa kutokea
 
Hili ni muhimu kutungiwa sheria kuepeku huku kuviziana. Sheria iweke wazi ukishaamua kuomba ridhaa ya kupitishwa kugombea chama flani katika uchaguzi "xyxy" wa mwaka x, hurusiwi tena mwaka huo kwenda kuomba ridhaa hiyo kwa chama kingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…