permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Matajiri wa USA sio sawa na akina Kishimba au Msukuma. Siamini kama ana mpango wa kuacha biashara afanye siasa.Kwa mtazamo wangu tajiri alibeti, kuingia na kujitangawa wazi kwamba anasimama na Trump ilikua ni mbinu ya kibiashara apate faida kubwa sana ama hasara.
Kitendo cha Trump kushinda kimemfanya tajiri kutengeneza faida maradufu ndani ya siku 2/3, hisa za makampuni yake zimenunuliwa na zimepanda maradufu.
Kwasasa sioni kama tajiri atakubali ofa ya teuzi in USA.