SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe vipi timu imebadili jina Siku hizi inaitwa MENINA FCYanga hata wakifungwa , hawawezi kufungwa goli 5 kama Simba walivyokuwa wanafungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe vipi timu imebadili jina Siku hizi inaitwa MENINA FCYanga hata wakifungwa , hawawezi kufungwa goli 5 kama Simba walivyokuwa wanafungwa
Na kweli mkuu kwa kuwa na wewe utacheza kufungwa ni kufungwa hata nusu goliYanga hata wakifungwa , hawawezi kufungwa goli 5 kama Simba walivyokuwa wanafungwa
Unaizungumzia yanga ipi? Kama hii inayotokea Tz pale jangwani ambayo ishakula 5 toka kwa simba haina dhamana.Yanga hata wakifungwa , hawawezi kufungwa goli 5 kama Simba walivyokuwa wanafungwa
Wamesepa hawaonyeshi. Kuanzia leo silipii Azam na king'amuzi natupia storeDalilli zimeanza kuonekana...mpka sasa wale wa Azam hakuna kitu..
Hongera timu yangu Yanga mmekufa kiume,goli hazikufika 5
Ni afadhali ufungwe away 5 bila kuliko kufungwa nyumbani.Hongera timu yangu Yanga mmekufa kiume,goli hazikufika 5
Huna akili kenge wewe... Huyo simba hakufungwa kwake na alifika hatua muruaYanga haiwezi kuiletea Tanzania aibu kama hii walioileta mikia View attachment 1252532
Sioni dalili za game ya Yanga kuoneshwa..yawezekana ikawa ni ombi lao ili kukwepa aibu ya kuona jinsi watakavyokua wakiadabishwa na pyramids.. Hata hivyo dunia kijiji link zipo na wale wa dstv kama kama kawa kama dawa..View attachment 1252559
Updates: Azam wameshindwa kwenda mbashara.
Nilichokua nahisi kimetimia..pamoja na matangazo Azam wameshindwa kuonesha.