Tetesi: Kuna Dalili za Kukwama Kwa Mradi wa Bomba la Mafuta la Uganda, Hoima-Tanga Baada ya Mabenki Washirika Kujitoa

Tetesi: Kuna Dalili za Kukwama Kwa Mradi wa Bomba la Mafuta la Uganda, Hoima-Tanga Baada ya Mabenki Washirika Kujitoa

Mleta uzi anasema nchi za Africa zitumie hela za ndani kukamilisha mradi?! namuuliza, tutumie hela za ndani kujenga bomba litakalosafirisha crude oil nje ya east africa? Si upumbafu huo kaka. Na tukitaka kujenga refinery, kwanza hiyo hela tutatoa kwenye benki zipi? Unadhani mabeberu watatuchekea kwa kukata mrija wao? Yalikuwa maswali kwa mleta uzi. The rest kuhusu Niger delta, Angola, Libya nayajua vema sana.
Huwezi kuwa na standard ya cost estimate ya ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta.

Ujenzi wa kiwanda cha kuchakata mafuta unategemea na aina ya matumizi/uhitaji. Je unatengeneza plant ya kuchakata mafuta ili uuze au unatengeneza plant kwajiri ya mafuta utumie ndani ili kupunguza gharama kwa raia wako.

Kwa mfano kwa sisi hapa Tanzania au East Africa tunaweza kuanza na kuchakata mafuta kwaajiri ya kubinya gharama za ndani ili tuweze kuwa na effective prices eneo la nishati badala ya kucheza na bei za hawa mbwa wa magharibi.

Gharama za ujenzi wa plant hiyo hazitaweza kuwa kubwa kutushinda. We worth a mabilioni of dollars plus kuna Urusi na China tunaweza shirikiana nao kuweza kufanya hayo mabadiliko.

Kwann tunakuwa na akili za kinyumbu kuamini kila jambo ni hadi mataifa ya magharibi yatupe Go ahead?

Wao wanaweza pinga mradi sisi tukasema NO tutafanya huu mradi tunashukuru kwa maoni yenu ila tutafanya huu mradi na tutachukua tahadhari juu ya madhara ya mradi eneo la mazingira.


Halafu niwakumbushe tena, umasikini wa sisi watanzania sio matokeo ya kutaka MUNGU au sisi tumekuwa conditioned kuwa masikini. Shida ni CCM na syndicate yake na regime.

Umeona hata magufuri walimchukia sababu alienda against policy yao ya WIZI WA MALI ZA UMA. Ukitaka CCM na nusu ya hili taifa kikuchukie wewe weka sheria na taratibu za kuwabana watu waliopo serikalini na maofisi ya serikali wasiibe hapo utajenga uadui usio na mwisho. Wao wanataka kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake eneo lake.

Tuwatoe CCM, ili tupunguze influence ya watu wanaotetea mifumo ya uharibifu. Tunazidi kuchelewa maendeleo.
 
Sasa hapo kwenye kuingana ndio shida ,kama Hadi Leo hii tumeshindwa kuungana kwenye sarafu Moja au biashara huria ndio itakuwa hiyo ya Mali?

Pili uhakika wa usalama na kutoaminiana ,Kwa Afrika hicho ninkitu kigumu sana.
Hizo ni changamoto za kifamilia ambazo tunaweza zimudu kama tukiweka sheria kali zenye kufanyiwa utekelezaji.

China sio wajinga kuweka sheria ya kunyonga na kufunga wabadhirifu maana inajulikana kuwa ukicheka na nyani hakuna mazao utavuna.
 
Kwamba Uganda ina mafuta kiasi gani hadi kuyumbisha?
Saudi anatoa zaidi ya pipa milioni 8 kwa siki, uganda pipa 200K kwa siku ndo ayumbishe dunia?
Hapo wanataka kumkazia Mseveni wameona anataka kufanya jambo.
 
Mradi wa Bomba la Uganda na Tanzania wa Hoima Hadi Tanga unaendelea kukumbwa na misukosuko kufuatia taarifa za kujitoa Kwa Benki 9 kati ya 10 ambazo ni washirika na zilikuwa zitoe Fedha za mkopo kujenga mradi..

Waliojitoa ni sababu zile zile za kijinga kwamba eti utachagua mazingira na blaa blaa kama hizo.


My Take.

Uganda, DRC na Tanzania Watumie pesa za Ndani Kumfadhili Ujenzi vinginevyo hii ya kusubiria Wazungu Haitafaulu maana Wana wivu.

Kwahiyo hapa Duniani hili ndilo bomba la kwanza kujengwa? Huko kwingine kote mabomba ya mafuta hayajaharibu mazingira? Halafu waziri wa viwanda na biashara anakwambia biashara sio vita, wakati hii ni hujuma ya waziwazi ya Kenya. Biashara ni vita!

Halafu unaposema tutumie pesa za ndani unamaanisha nini wakati huo mradi ni mali ya hao total? Uganda yeye anachukua asilimia zake tu kwa mafuta yake, na sisi tunachukua tu asilimia zetu kwa ku-host bomba, ila bomba sio letu.
 
Tutoe pesa yaende Nje,sioni haja ya kusafisha maana mafuta yenyewe sio mengi San kiwanda kitabaki iddle wakati kimetumia pesa kubwa
Yaani mataifa yote ya afrika yenye mafuta haya tubakie idle, are you even serious ndugu?!

Kwann tupeleke nje, hizo kazi huoni tutaajiri watu wengi sana hapa afrika na kupunguza sana tatizo la ajira?!

Nani kakudanganya oil reserves ni chache hapa afrika?!
 
Unachukua pesa unawekeza kusafirisha mafuta ghafi afu wanunuzi wakatae.

Kwanini Uganda asitafute pesa ajenge refinery ili auze mafuta hapa hapa East Afrika
Wazungu hawataki kabisa hilo suala, watakuwekea kila aina ya vikwazo usifanikiwe, wana roho za husda sana, hata sisirefinery yetu ya TIPPER walituoa vikwazo tuifunge, la sivyo hakuna misaada
 
Hivi mataifa ya magharibi wana interests gani na huu mradi wa hili bomba la mafuta?

Kuna siku natazama Video clip inaonyesha mabinti wa kizungu kama watatu hivi wanamzonga raisi wa ufaransa wakimbembeleza kuwa huu mradi wasiufadhili na pia wafanye jitihada usifanikiwe.

Naanza kususpect kuwa huu mradi inawezakana unahusisha Urusi na China.

Mataifa ya magharibi wakipinga jambo litazame mara mbili mbili.
Hao walitumwa na Kenya, na hata hili la mabenki mi Kenya, Kenya wanautaka huu mradi..,
 
Kaka, hujui hili lidunia linavyoendeshwa? Hadi Magu mwenyewe amekubali kutoa ardhi bomba lipite, crude iondoke ikanufaishe mabeberu. kwa kisingizio tutagawana mapato! yapi hayo?! mafuta yakishasafishwa kisha kuuziwa tena? bomba likianza hakuna ajira yoyote ya kustaajabisha kwa watanzania, wanavijiji wataliona tu. Libya, Niger Delta, Angola wanajua
Nakuuliza maswali naomba unijibu. Hivi sisi hatuna uhitaji wa mafuta, kuanzia mafuta ya taa, spirit, mafuta ya engine (treni, magari, meli na mashine viwandani, majenereta), mafuta ya ndege etc, sisi hatuna matumizi ya hivyo vitu?


Why watanzania huwa mnakasumba ya kununua zaidi mahitaji badala ya kuzalisha tunachotumia?

Ni utamaduni ule ule kama kijijini pale. Unalima mahindi kwaajiri ya kupata unga wa kula nyumbani. Kwa namna hii unafaidika mara mbili kwanza unapata ajira kwa maana ya shughuli ya kiuchumi ya kukuingizia kipato lakini pia unakuwa ndie mtumiaji mkubwa wa bidhaa unayozalisha.

Leo Tanzania ukienda kariakoo 100% ya bidhaa ni imported. Tena ni za quality ya chini sana ukilinganisha na matumizi yake.

Sasa kwann tushindwe kwenye mafuta?! Mimi nadhani sio kwamba haiwezekani ila kuna watu wanakwamisha hili. Refinery plant inaweza kutengenezwa vema kabisa na sio gharama ukilinganisha na gharama tunayoingia saa hii.

Tazama bei za mafuta zinavyoathiri kila eneo la uchumi, why sasa tuogope kuchimba kisima cha maji kwetu eti tunaona milioni 9 kubwa ila tusione gharama ya kutembea km10 kufuata maji ya mradi huko mjini.

Hebu tusiwe waoga.
 
Kwahiyo hapa Duniani hili ndilo bomba la kwanza kujengwa? Huko kwingine kote mabomba ya mafuta hayajaharibu mazingira? Halafu waziri wa viwanda na biashara anakwambia biashara sio vita, wakati hii ni hujuma ya waziwazi ya Kenya. Biashara ni vita!

Halafu unaposema tutumie pesa za ndani unamaanisha nini wakati huo mradi ni mali ya hao total? Uganda yeye anachukua asilimia zake tu kwa mafuta yake, na sisi tunachukua tu asilimia zetu kwa ku-host bomba, ila bomba sio letu.
Watu hawana taarifa wanatumia fikra za "Hear say".
 
Fidia kalipa nani? Si hao wenye mradi, sasa wapambane wasipate hasara
Kapitie vizuri mradi ulipaswa enda Kenya ila Magufuri alienda Uganda akakubali kulipa fidia na kutoa eneo la kupitisha bomba
 
Tanzania tuchukue fursa tuwekeze hapo 50/50 tule matunda pamoja na wayugandabona akili za kiafrika ni ziro kabisa? Hela za mavieiti zipo. Za kufanya uwekezaji hazipo...
Imagine hizo ni kama 5 trillions tu.
Tukichimba dhahabu pale Congo tunamaliza ujenzi
 
Back
Top Bottom