Kuna dalili za simba kufanyiwa figisu fainali ya FA


Jamaa mishipa ya Shingo imewakakamaa kinoma, wakiitaka TFF iwapangie Kwenye uwanja wanao upenda wao.....


Inabidi Tujifunze kuheshimu sheria zetu!
 
Sasa kama una uhakika wa kutwaa taji la Fa mbona umeanza kuweweseka kiasi hicho?kwa taarifa yako finali ya FA inapigwa Jamhuri Dodoma
 
Wangeandamana
 
Yale yale ya TUMEFUNGWA KWA VILE MVUA ILIKUWA INANYESHA.... MKIULIZWA KAMA MLICHEZA NA SAMAKI AU KAMBALE, HAMNA JIBU
 
Wewe hutaki ndugai akawaone simba wake?
 
Gwaride limepigiwa juzi tu hivyo uwanja upo level wacha kuogopa
 
Alafu ndio makao mkuu ya nchi yetu
 
Simba na mbao hadhi yenu siyo taifa,hadhi yenu ni huko dodoma au kigoma
 
Wewe unayejua maana ya fainali nenda kapange uwanja unao taka wewe
 
Ipo siku ni siku gani hiyo Mkuu! Maana mm naona kila siku Ubingwa wa Ligi anabeba Yanga tu!

Tuendelee kumngoja Yesu!
Sio kumngoja yesu.tayari mungu anaaza kuturipia,si unaona kwa jamaa hakukariki.njaa tupu sasa usajili ndio huo unakuja.kama safari ya mwanza basi linakata mafuta njiani,watamsajiri nani wakati waliopo wanataka kuondoka
 
Sio kumngoja yesu.tayari mungu anaaza kuturipia,si unaona kwa jamaa hakukariki.njaa tupu sasa usajili ndio huo unakuja.kama safari ya mwanza basi linakata mafuta njiani,watamsajiri nani wakati waliopo wanataka kuondoka
Naona unadhalilisha ndege za serikali yaani yanga wameenda mwanza na ndege wewe unaleta uhalo wako wa uongo hapa jamvini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…