demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Hivi ni SIMBA na YANGA ndio wana haki ya kuchezea kila mechi TAIFA au UHURU? Kwanini usichezwe hata KAITABA au NYAMAGANA, au kwingine kokote? Tuwe fair, hakuna mahali palipoandikwa kuwa ni SIMBA na YANGA ndio wana haki ya kuchukua ubingwa wa FA au VPL.
Jamaa mishipa ya Shingo imewakakamaa kinoma, wakiitaka TFF iwapangie Kwenye uwanja wanao upenda wao.....
Inabidi Tujifunze kuheshimu sheria zetu!