Kuna dawa ya kuacha Pombe?

Ty
 

Attachments

  • 1723028225069.jpg
    60.2 KB · Views: 5
HUKU MOSHI TUMEWEKEWA NA VIVUKO SPECIIAL
 

Attachments

  • Screenshot_20240817-100602_Gallery.jpg
    371.4 KB · Views: 5
Andika kinyakyusaaa banana 🍌
 
DAWA YA KUACHA POMBE KULAAAA
WE KULAA VIZURI NYAMA SAMAKIIIII
UONE KAMA UTAKUJA NA HILI SWALI

NIKOKWA WAKALA
 
Kuacha pombe ni propaganda wala usijisumbue kuacha wewe punguza tu.
 
Hakuna , ila ukiamua unaweza , ndugu yangu alijaribu akashindwa mwisho wa siku akaanza kusema amelogwa awe anasikia harufu ya pombe muda wote . lakini ni wewe mwenyewe tu tafuta hobby nyingine au anza gym
 
Habari wakubwa hivi kuna Dawa au njia nzuri ya kuacha mtaumizi ya pombe.

Shukran
Ipo sema baada ya miaka inaisha nguvu.nina bro wangu mlevi mbwa alitumia kaacha miaka miwili akaanza tena now katumia tena ana mwez baada ya mkewe kuchoka kaacha tena.
 
Dawa ya kuacha pombe ni "willpower" tuu.Niliacha baada ya kunywa kwa 40yrs nilifika kipindi nakunywa crate na silewi,siku moja nimetoka kuchukua mshahara nikajiuliza kwanini natakakujiua na pombe hizi hela zote namwachia nani nikajisemea sinywi tena and it was the end,about 12 yrs ago.
 
Kuacha pombe, labda uwe na matatizo ya kiafya na ukashauriwa na daktari, unaweza acha kwa kujitesa, au kuingia maagano ya kishirikina, au uchumi wako umetetereka; tofauti na hapo ni ngumu kuacha.
 
Unaweza ukanisaidia kutofautisha kati ya mvinyo na divai
Divai (kutoka Kifaransa du vin) ni kileo kinachotengenezwa kwa majimaji ya zabibu.

Pengine inaitwa pia: mvinyo (kutoka Kireno vinho), ingawa jina hilo linaweza kutumika kwa vileo vikali zaidi.

Inawezekana kutumia pia majimaji ya matunda mengine ili kupata kinywaji cha kufanana ingawa watu wengine hawapendi kukiita "divai".

Hakuna tofauti kati ya divai,mvinyo ama kileo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…