Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sasa kasavanna, samaki anaeruka, desperado, wine zina uchungu gani?🤣🤣🤣🤣🤣Mbavu zanguu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kasavanna, samaki anaeruka, desperado, wine zina uchungu gani?🤣🤣🤣🤣🤣Mbavu zanguu
Afu napiga dompo....Ila sijalowea ..ni Mara moja moja...sanasana nikiwa stressed🙄Sasa kasavanna, samaki anaeruka, desperado, wine zina uchungu gani?
Oya mangi mbona unamtag manzi wanguNdio dawa ni kuacha tu ukiendekeza utaishia kuitwa majina ya ulevi kama ahmada umelewa na kuanguka hovyo kwenye mitaro Cc ephen_
walevi ni wapumbavu
ukilijua hilo wala huwezi kunywa pombe
Wasio kunywa wengi ni mashogaSasa ukiacha pombe sisi tutamdharau nani? Walevi ndo watu tunaowadharau
Mimi nakushauri endelea kunywa pombe itakusaidia mambo mengi sana kuliko hasara.Habari wakubwa hivi kuna Dawa au njia nzuri ya kuacha mtaumizi ya pombe.
Shukran
Mpumbavu ni babako.walevi ni wapumbavu
ukilijua hilo wala huwezi kunywa pombe
Unakuta dume zima lenyewe linajuwa majina ya tamthilia zote limekaa kwenye tv nyumbani wakati wamba tunashusha vyombo na Fally Ipupa yuko hewani na May day.Wasio kunywa wengi ni mashoga
Umeona hasara ya ulevi? Mlevi weweWasio kunywa wengi ni mashoga
Ina uchungu gani sasa? Vipi vibe yake ujaipendaAfu napiga dompo....Ila sijalowea ..ni Mara moja moja...sanasana nikiwa stressed🙄
Tueleze hasara ya ulevi, halafu nenda bar angalia mitambo inayopark kwenye parking, halafu nenda kwenye vijiwe vya kahawa angalia parking zao kama hakuna baiskeli tu.Umeona hasara ya ulevi? Mlevi wewe
Bora Redds unywe unyegeke🥴Ina uchungu gani sasa? Vipi vibe yake ujaipenda
Mbusiii MaghayoUmeona hasara ya ulevi? Mlevi wewe
Ni mawaki hao. Kama sio shoga basi ni shoga kama LuchaUnakuta dume zima lenyewe linajuwa majina ya tamthilia zote limekaa kwenye tv nyumbani wakati wamba tunashusha vyombo na Fally Ipupa yuko hewani na May day.
Dawa ni uamuzi wako na determination. Kwanza ukubali na kuamua kuwa unataka kuacha pombe. Pili kama ulikuwa ni mnywaji sana, usiache ghafla. Punguza kidogo kidogo (tumia hata mwaka mmoja) mpaka utakapoacha kabisa.Habari wakubwa hivi kuna Dawa au njia nzuri ya kuacha mtaumizi ya pombe.
Shukran
umelewa weweMpumbavu ni babako.
Utakuja kupelekewa moto ndio ujue hujuiMi nikitukana na mlevi huwa sishangai akinitukana kwahiyo hata wewe ni mlevi tu wa kupuuzwa
Mlevi tu weweUtakuja kupelekewa moto ndio ujue hujui