Kuna dawa za kuzuia ndevu kuota?

Kuna dawa za kuzuia ndevu kuota?

Kama nilivyojieleza mi ni binti wa miaka 24 nimepata tatizo la kupata ndevu kiukweli linanikosesha Amani nahitaji mtu anayejua dawa anisaidie kuna mtu alinishauri kufanya laser hair treatment lakini nimeshindwa sababu ni mpaka nje ya nchi na ukizingatia mi mwanafunzi wa chuo so itanikosesha nafasi matibabu yake yanachukua mpaka session nane au kumi na hufanyika kila baada ya mwezi kwa hiyo isingekuwa rahisi kupata mda so plz kwa mtu anajua dawa anisaidie au hata mtu anayetibu anidirect ila iwe nchini
Pole sis wamasai wanazo dawa za aina hiii, hebu cheki nao.

Bt ogopa matapeli....
 
Kama nilivyojieleza mi ni binti wa miaka 24 nimepata tatizo la kupata ndevu kiukweli linanikosesha Amani nahitaji mtu anayejua dawa anisaidie kuna mtu alinishauri kufanya laser hair treatment lakini nimeshindwa sababu ni mpaka nje ya nchi na ukizingatia mi mwanafunzi wa chuo so itanikosesha nafasi matibabu yake yanachukua mpaka session nane au kumi na hufanyika kila baada ya mwezi kwa hiyo isingekuwa rahisi kupata mda so plz kwa mtu anajua dawa anisaidie au hata mtu anayetibu anidirect ila iwe nchini
Pm
 
Kama nilivyojieleza mi ni binti wa miaka 24 nimepata tatizo la kupata ndevu kiukweli linanikosesha Amani nahitaji mtu anayejua dawa anisaidie kuna mtu alinishauri kufanya laser hair treatment lakini nimeshindwa sababu ni mpaka nje ya nchi na ukizingatia mi mwanafunzi wa chuo so itanikosesha nafasi matibabu yake yanachukua mpaka session nane au kumi na hufanyika kila baada ya mwezi kwa hiyo isingekuwa rahisi kupata mda so plz kwa mtu anajua dawa anisaidie au hata mtu anayetibu anidirect ila iwe nchini
Mbona mwanamke Mwenye ndevu wanakuwaga na kismati cha hatari ww ziache bhana
 
Kama nilivyojieleza mi ni binti wa miaka 24 nimepata tatizo la kupata ndevu kiukweli linanikosesha Amani nahitaji mtu anayejua dawa anisaidie kuna mtu alinishauri kufanya laser hair treatment lakini nimeshindwa sababu ni mpaka nje ya nchi na ukizingatia mi mwanafunzi wa chuo so itanikosesha nafasi matibabu yake yanachukua mpaka session nane au kumi na hufanyika kila baada ya mwezi kwa hiyo isingekuwa rahisi kupata mda so plz kwa mtu anajua dawa anisaidie au hata mtu anayetibu anidirect ila iwe nchini
ukipata dawa nambie na mimi
 
Kama nilivyojieleza mi ni binti wa miaka 24 nimepata tatizo la kupata ndevu kiukweli linanikosesha Amani nahitaji mtu anayejua dawa anisaidie kuna mtu alinishauri kufanya laser hair treatment lakini nimeshindwa sababu ni mpaka nje ya nchi na ukizingatia mi mwanafunzi wa chuo so itanikosesha nafasi matibabu yake yanachukua mpaka session nane au kumi na hufanyika kila baada ya mwezi kwa hiyo isingekuwa rahisi kupata mda so plz kwa mtu anajua dawa anisaidie au hata mtu anayetibu anidirect ila iwe nchini
Usihangaike kutafuta solution ya kuziondoa hizo ndevu. Kuna wanaume tunapenda wanawake wenye ndevu. Shauri yako
 
Back
Top Bottom