Younguther
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 243
- 483
Hahaha! ๐Mixx by Yas
Kumbuka siku ulipompora mkufu wake wa dhahabu ukakimbia, yeye anakukumbuka na kuapiza angekuwa na nguvu ungemtambua.Ni mtoto mzuri wa kishua, kila akiniona ananitazama sana kisha anatabasamu, mara ang'ate vidole kila akiniona,...Hii ishara ya kunitizama sana inanichanganya najiuliza je atakuwa kanipenda? Je kipi kinafanya aniangalie sana?..
Mbona ni rahisi tu kujua, muulize yeye mwenyewe sisi hatuwezi kumjibia, sawa sawa?Ni mtoto mzuri wa kishua, kila akiniona ananitazama sana kisha anatabasamu, mara ang'ate vidole kila akiniona,...Hii ishara ya kunitizama sana inanichanganya najiuliza je atakuwa kanipenda? Je kipi kinafanya aniangalie sana?..
Ndevu zangu ziko arranged, pia kimavazi niko smartUkute anashangaa ndevu zako hazina mpangilio
UKIMWI UPONi mtoto mzuri wa kishua, kila akiniona ananitazama sana kisha anatabasamu, mara ang'ate vidole kila akiniona,...Hii ishara ya kunitizama sana inanichanganya najiuliza je atakuwa kanipenda? Je kipi kinafanya aniangalie sana?..