Kuna Doria ya helicopter jioni hii?

Kuna Doria ya helicopter jioni hii?

maroon7

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
11,311
Reaction score
15,640
Sio kawaida kwa helicopter kuzunguka mara nne ndani ya lisaa kama doria usiku huu . Nimejaribu kujiuliza kama inahusiana na hali ya usalama hasa baada ya lile tamko la kiusalama toka ubalozi wa US maana toka lile tamko nimekua on high alert
 
Kama upo Dar kaa kimasta, KLM nao kwenye press release yao wameonesha kuwa na mashaka na jiji la Dar,wamesema watarudisha flights lakini staff wake watakaq kilimanjaro
 
Sio kawaida kwa helicopter kuzunguka mara nne ndani ya lisaa kama doria usiku huu . Nimejaribu kujiuliza kama inahusiana na hali ya usalama hasa baada ya lile tamko la kiusalama toka ubalozi wa US maana toka lile tamko nimekua on high alert
Inazunguka wapi na wapi?
 
Zimepita tatu juu..mbili zimeongozana umbali mfupi..nyingine ikafuatia
Zinaelekea usawa wa huku baharini
 
Sio kawaida kwa helicopter kuzunguka mara nne ndani ya lisaa kama doria usiku huu . Nimejaribu kujiuliza kama inahusiana na hali ya usalama hasa baada ya lile tamko la kiusalama toka ubalozi wa US maana toka lile tamko nimekua on high alert
Katika Lugha Sanifu ya Kiswahili hakuna Neno Lisaa Limoja bali kuna Neno sahihi la Saa Moja.

Kuhusiana na Helicopter uliyoiona nadhani badala ya Kushangaa / Kuishangaa basi ungepongeza kwani ni Jukumu la Watu tuliowakabidhi dhamana ya Ulinzi na Usalama kutulinda Watanzania muda na wakati wowote ule.
 
Katika Lugha Sanifu ya Kiswahili hakuna Neno Lisaa Limoja bali kuna Neno sahihi la Saa Moja.

Kuhusiana na Helicopter uliyoiona nadhani badala ya Kushangaa / Kuishangaa basi ungepongeza kwani ni Jukumu la Watu tuliowakabidhi dhamana ya Ulinzi na Usalama kutulinda Watanzania muda na wakati wowote ule.
Ngeli ya SAA ni IPI ticha?
 
Sio kawaida kwa helicopter kuzunguka mara nne ndani ya lisaa kama doria usiku huu . Nimejaribu kujiuliza kama inahusiana na hali ya usalama hasa baada ya lile tamko la kiusalama toka ubalozi wa US maana toka lile tamko nimekua on high alert
Wewe ni IGP.

Au bodaboda stori za vijiweni
 
Sio kawaida kwa helicopter kuzunguka mara nne ndani ya lisaa kama doria usiku huu . Nimejaribu kujiuliza kama inahusiana na hali ya usalama hasa baada ya lile tamko la kiusalama toka ubalozi wa US maana toka lile tamko nimekua on high alert
Mkuu iyo uliyoiona siyo helicopter ni international space station ISS.

mzawa G
 
Sio kawaida kwa helicopter kuzunguka mara nne ndani ya lisaa kama doria usiku huu . Nimejaribu kujiuliza kama inahusiana na hali ya usalama hasa baada ya lile tamko la kiusalama toka ubalozi wa US maana toka lile tamko nimekua on high alert
Taarifa za juu juu zinasema ni Haji Manara anamtafuta Rushayna kwani toka kaachwa hana raha, anajiharishia kila akimkumbuka msukuma wa watu.
 
Back
Top Bottom