Kuna Doria ya helicopter jioni hii?

Kuna Doria ya helicopter jioni hii?

Sio kawaida kwa helicopter kuzunguka mara nne ndani ya lisaa kama doria usiku huu . Nimejaribu kujiuliza kama inahusiana na hali ya usalama hasa baada ya lile tamko la kiusalama toka ubalozi wa US maana toka lile tamko nimekua on high alert
kitu cha kawaida hicho. pilots hufanyiwa mafunzo ya kuendesha na kutua usiku pia. mafunzo lazima yafanyike usiku
 
Taarifa za juu juu zinasema ni Haji Manara anamtafuta Rushayna kwani toka kaachwa hana raha, anajiharishia kila akimkumbuka msukuma wa watu.
Yule jamaa alilia kabisa "yani mimi nazimia huniokoti" Hajwi Manyara mbuzi sana yani uzimie zimie kimitego utegemee kuokotwa nyau wewe
 
Yule jamaa alilia kabisa "yani mimi nazimia huniokoti" Hajwi Manyara mbuzi sana yani uzimie zimie kimitego utegemee kuokotwa nyau wewe
Wewe unacheza na dawa za kuongeza nguvu za kiume? Dogo anameza viagra ili akomoe wanawake kumbe anajidhalilisha mwenyewe mpaka anazimia. Sinema za ngono zinamuharibu sana dogo, yaani anaiga kila kitu akionacho. Mtu akila mavi naye anataka afanye hivyo hivyo na ndiyo maana anapenda mademu wenye makalio makubwa ili ajambiwe.
 
Back
Top Bottom