Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

ephen_

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2022
Posts
14,949
Reaction score
54,485
Kuna baadhi ya mama huwapaka watoto wao damu inayotoka ukeni punde baada ya kutoka kujifungua.

Kwa nilivyosikia hii kitu ipo sana kwenye jamii ya Watutsi.
Wanasema punde mama anavyokabidhiwa mtoto wake basi hufanya kitu hiki huku akinenea maneno.

Inasaidia mtoto asipate husda yoyote inayosababishwa na walimwengu.
Watu waliofanyiwa kitu hiki huwa hawarogeki, wengine wanakua na nyota kali sana.
Chochote kibaya kinachowapata labda akisababishe mwenyewe ila sio kwa kusababishiwa na watu.

Hii ishu nimeisikia mara mbili, na jamii hizo hufanya jambo hili kwa siri ndio maana sio kila mtu anajua kuhusu hii mila au desturi.

Nikaona nije kuuliza humu sababu kuna wajuzi wa mambo.
Naomba kujua ukweli wa jambo hili.
Mshana Jr LIKUD mdukuzi ngara23 Kapeace
 
Kuna dada ni rafiki wa mama yangu huwa analalamika mumewe anataka kumtoa kafara ili apate utajiri.
Juzi kati alipata ajali mbaya sana akapelekwa hospital madaktari wakadhibitisha amefariki hivyo apelekwe mochwari.

Walivyomfikisha mochwari ile wanataka kumchoma sindano marehemu akazinduka.
Sasa wakati anamsimulia mama yangu changamoto za kishirikina anazokutana nazo kwa mume wake akasema "Huyu mwanaume hawezi kunishinda, mimi ndiye mtutsi original labda kama nisingepakwa damu ya uzazi"

Mama yangu akamuuliza kuhusu damu ya uzazi ndio akaambiwa ila kwa ufupi.
 
Kuna dada ni rafiki wa mama yangu huwa analalamika mumewe anataka kumtoa kafara ili apate utajiri.
Juzi kati alipata ajali mbaya sana akapelekwa hospital madaktari wakadhibitisha amefariki hivyo apelekwe mochwari.

Walivyomfikisha mochwari ile wanataka kumchoma sindano marehemu akazinduka.
Sasa wakati anamsimulia mama yangu changamoto za kishirikina anazokutana nazo kwa mume wake akasema "Huyu mwanaume hawezi kunishinda, mimi ndiye mtutsi original labda kama nisingepakwa damu ya uzazi"

Mama yangu akamuuliza kuhusu damu ya uzazi ndio akaambiwa ila kwa ufupi.
Duh kazi ipo.
 
Kuna dada ni rafiki wa mama yangu huwa analalamika mumewe anataka kumtoa kafara ili apate utajiri.
Juzi kati alipata ajali mbaya sana akapelekwa hospital madaktari wakadhibitisha amefariki hivyo apelekwe mochwari.

Walivyomfikisha mochwari ile wanataka kumchoma sindano marehemu akazinduka.
Sasa wakati anamsimulia mama yangu changamoto za kishirikina anazokutana nazo kwa mume wake akasema "Huyu mwanaume hawezi kunishinda, mimi ndiye mtutsi original labda kama nisingepakwa damu ya uzazi"

Mama yangu akamuuliza kuhusu damu ya uzazi ndio akaambiwa ila kwa ufupi.
Duh uchawi upo aisee 😀 😀 ukisika kusini mwa jangwa la Sahara kunaongoza kwa shiriki ndio hivi ngoja na mie nitafute uchawi ili mwezi ujao nimalizie ghorofa langu kule vikindu
 
Back
Top Bottom