To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Hakika, AsanteYeah ni kweli, Mungu atamlinda na kumpa nafuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika, AsanteYeah ni kweli, Mungu atamlinda na kumpa nafuu
Ndio aisee ni balaaWale Wala nyama za nyani au
😀😀😀😀😀😀Naomba unifafanulie mkuu.
Unataka nitoe SIRI ? Hiyo kitu hkn atakayekuambiaUnaona spirit ya watutsi? Inanifanya niamini kuna jambo
Hivyo nahitaji kujua.. Huko juu Tresor Mandala kakataa kujibu lakini inaonyesha kuna kitu anakijua.
Tuko pamojaHakika, Asante
Yapo ni mambo ya imani za watu tu hizoNi hatujui mkuu! Na huu uzee tunajifunza tu kila siku, haya mambo kwangu huwa magumu hata siyaelewi.
Ndio maana watu wake ni wababe sana lile kabila 😀😀Both
Naskia hadi DRC Mila hii ipoSawa hamtoi siri zenu ila naomba uniambie tu kama hii kitu ipo au hakuna.
Na wewe unataka ufanye hivyo? Kama hao watu si.Kuna baadhi ya mama huwapaka watoto wao damu inayotoka ukeni punde baada ya kutoka kujifungua.
Kwa nilivyosikia hii kitu ipo sana kwenye jamii ya Watutsi.
Wanasema punde mama anavyokabidhiwa mtoto wake basi hufanya kitu hiki huku akinenea maneno.
Inasaidia mtoto asipate husda yoyote inayosababishwa na walimwengu.
Watu waliofanyiwa kitu hiki huwa hawarogeki, wengine wanakua na nyota kali sana.
Chochote kibaya kinachowapata labda akisababishe mwenyewe ila sio kwa kusababishiwa na watu.
Hii ishu nimeisikia mara mbili, na jamii hizo hufanya jambo hili kwa siri ndio maana sio kila mtu anajua kuhusu hii mila au desturi.
Nikaona nije kuuliza humu sababu kuna wajuzi wa mambo.
Naomba kujua ukweli wa jambo hili.
Mshana Jr LIKUD GENTAMYCINE mdukuzi ngara23 Kapeace
Imani ni kuamini chochote bila uthibitisho kwa hiyo hata wewe unaweza kuamini tuUnaona spirit ya watutsi? Inanifanya niamini kuna jambo
Hivyo nahitaji kujua.. Huko juu Tresor Mandala kakataa kujibu lakini inaonyesha kuna kitu anakijua.
🤣🤣🤣Kaa mbali na huu uzi, usiniletee pigo za Uchawi hakuna sijui ujinga wa Watanzania.