maramia
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 2,030
- 1,345
- Thread starter
- #21
kazi na dawa. hiyo ni posho ya wakubwa wewe inakuuma kwa sababu hujawa mbunge ukiwa mbunge utaona faida ya kukaa jirani na hao wadada yaani spika anongea wewe mkono upo sehemu sehemu unatafuta network halafu unamuuliza spika hapo umesemaje nilikuwa busy kidogo.
Yaani hiyo ya kutafuta "Network" ndiyo faida ya wabunge wa vitu maalum?